Unadhani ni kwanini Lissu, Lema na Heche hawaaminiki na wala hawakubaliki kwa wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema taifa na wanachdema kwa ujumla?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Je,
hawakubaliki wala kuaminika kwasababu ya miongoni mwao kuishi sana uhamishoni nchi za magharibi, na kwahivyo wanaonekana kama ni vibaraka na makuwadi wa nchi za magharibi kupenyeza ukoloni mambo leo na sera za ndoa za jinsia moja, ufirauni na utoaji mimba nchini?

Au,
hawakubaliki wala kuaminika kukosa kwao uzalendo kwa Taifa, na kupuuza mila, desturi na utamaduni wa kiTanzania na kuutukuza umagharibi hususani mambo ya ndoa za jinsia moja, utoaji mimba na ufirauni kama haki ya binadamu?

Hawaaminiki na kukubalika kwa kwasababu ya kukosa kwao hekima na busara kwa maneno na vitendo vyao? Na kwamba kiburi, ujeuri, uzushi na uongo kwao ndio ujasiri?

Kwanini press conference zao, maelezo na ufafanuzi wao kuhusu mambo mballimbali kumuhusu mwenyekiti wa Chadema Taifa na chadema kwa ujumla hupuuzwa ndani ya muda mfupi tu na kwanini maelezo na ufafanuzi wa Ezekia Wenje umekubalika zaidi na kubabaika kabisa hali na uelekeo wa uchaguzi wa chadema?

Je,
maelezo ya akina Lisu, Lema na Heche hua ni uongo na uzushi, au tu wamekosa uhalali kwa wanainchi na sasa wanaonekana ni kama watu waliokata tamaa, watu wanaotaka kurevenge lakini hawana uwezo?


Nini maoni yako my friends ladies and gentlemen?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
 
Wewe ni CCM acha CHADEMA wachague viongozi wao
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Your browser is not able to display this video.
 
Tangu lini hawaaminiki? Na nani? Chadema sio mtu/binadamu, Yani hisia za mamilioni ya watu unazijua wewe? Imani inapimwa kwa kipimo gani ulichotumia bosi? Ukapata jibu kwa asilimia, uzito, ujazo au ukubwa na ni kiasi gani? Ukafanya conclusion hao mabwana hawaaminiki?
 
Ujinga umewazidi siku hizi
 
naona unaanzisha negative thread kuhusu Lissu kila baada ya sekunde 10
gentleman,
all politicians especially within Tz are my friends.

sina negative perception kwa yeyote ispokua daima naeleza ukweli mtupu kila baada ya matokeo ya tafiti nyingi mno za kisiasa ambazo huzifanya dhidi yao.

So,
ni muhimu kujikita kwenye hoja zaidi gentleman πŸ’
 
Wewe ni mmoja wa wajumbe wa CDM ama unamtu anakula tako humu ndio anaupa huu ujinga.
 
infact,
hiyo ni matokeo ya tafiti nyingi mno ninazozifanya kuhusu siasa na wanadipomasia wa Tanzania.

So,
hayo ni miongoni mwa matokeo ya tafiti zangu za hivi karibuni sana kwamba Lisu, Lema na Heche, hawaaminiki wala hawakubaliki kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa na kwa wanachama na wafuasi wengi wa chadema.

Ofcoz wanaonekana ni watu wenye kiburi, tamaa na wasaliti chadema gentleman πŸ’
 
Poa, hebu rusha hiyo article/summary ya utafiti wako tujiridhishe, by the way is it peer reviewed?
 
Wewe ni mmoja wa wajumbe wa CDM ama unamtu anakula tako humu ndio anaupa huu ujinga.
mimi ni mtaalamu mbobevu wa masula ya siasa za Tanzania na mtafiti mwandamizi katika demokrasia nchini.

kwasasa,
Lisu, Lema na Heche hawaaminiki wala hawakubaliki kwa wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, lakini wana chama wachadema wanetokea kuwachukua sana gentleman.

ndio najaribu kutafuta sababu ni nini hasa mpaka hali hii kutokea?πŸ’
 
Kumbe wenzangu kuna wanasiasa mnawaamini badoπŸ™„πŸ™„. Wote uliowataja hamna kitu nyie CDM mkachaguane tu ila wote ni wachumia tumbo na janjajanja nyingi hasa huyo jamaa anayejiita nabii bora hata heche japo nae ni mchumia tumbo ila uchafu wake at least haupo on social medias
 
Poa, hebu rusha hiyo article/summary ya utafiti wako tujiridhishe, by the way is it peer reviewed?
Infact,
hatuzitoi nje kwasabb zinaweza kusababisha fujo na kuwakatisha watu tamaa kabisa gentleman.

Nadhani ni vizur tukaenda na wote mpaka mwisho wa mchakato kisha ndipo tukazitoa, hapo joto na uhasama uliopo vitakua vimetulia πŸ’
 
Infact,
hatuzitoi nje kwasabb zinaweza kusababisha fujo na kuwakatisha watu tamaa kabisa gentleman.

Nadhani ni vizur tukaenda na wote mpaka mwisho wa mchakato kisha ndipo tukazitoa, hapo joto na uhasama uliopo vitakua vimetulia πŸ’
Hahah I rest my case bro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…