Unadhani ni kwanini Lissu, Lema na Heche hawaaminiki na wala hawakubaliki kwa wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema taifa na wanachdema kwa ujumla?

Takataka +
 
Wanaaminika sana na watanzania ndio maana genge la Mwamba wazamishe wa washirika wao wakijani wamekosa usingizi kiasi cha kukaribia kufa kwa shida ya kutopata usingizi hadi chawa walio wapa jukumu la kuwadunisha kushindwa jukumu hilo ovu.Kwani watanzania wako macho na wameshatoka kipindi cha kudanganywa na kudanganyika.
 
Hawana chanzo cha mapato, nani atakuwa anawahonga wajumbe, lissu akiingia hapo njaa tupu itawatafuna wajumbe
 
inawezekana wanaokubalika mitandaoni na watu wasio wajumbe au wanachama wa chadema,

but as we discuss,
jamaa hawaaminiki wala kukubalika na hamii. na kila wanachoibua kwa kupitia vyombo vya habari na mitandaoni wanapuuzwa tu πŸ’
 
Lissu anakubalika mno ndani ya chama chake.
Sijui wewe unawashwa nini?.
acha upotoshaji gentleman,
alimuindorse nani BAWACHA? alieshinda au hakushinda?
hiyo inamaanisha nini kisiasa?πŸ’
 
Uzuri ni kuwa hata babu yako nimemsikia akimuunga mkono Lissu sasa inabidi ujitafakari wewe ni halisi kutoka kiuno chake au ni vinginevyo?
 
Uzuri ni kuwa hata babu yako nimemsikia akimuunga mkono Lissu sasa inabidi ujitafakari wewe ni halisi kutoka kiuno chake au ni vinginevyo?
ni muhimu kujikita kwenye hoja bila mihemko gentleman πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…