Pre GE2025 Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani nchini vimeupuuza wito wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, wa kuunganisha nguvu, au wamehisi ni ulaghai na utapeli?

Pre GE2025 Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani nchini vimeupuuza wito wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, wa kuunganisha nguvu, au wamehisi ni ulaghai na utapeli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
UWT huna akili, Edo wa ACT ndiyo alitaka waungane, Wapi Lisu amesema waungane? shame on you
kwahiyo mama Ima,
BAWACHA hamfahamu kua, mwenyekiti wa chadema taifa alitoa wito wa vyama vya upinzani kuungana nae kuelekea useless na nonsense No reform No elections movement kuelekea uchaguzi mkuu?

mbona BAWACHA mna kiburi sana aise? hamtaki kabisa kufuatilia kwa makini mwenyekiti wenu anaelekeza nin :pedroP: ?
 
kwahiyo mama Ima,
BAWACHA hamfahamu kua, mwenyekiti wa chadema taifa alitoa wito wa vyama vya upinzani kuungana nae kuelekea useless na nonsense No reform No elections movement kuelekea uchaguzi mkuu?

mbona BAWACHA mna kiburi sana aise? hamtaki kabisa kufuatilia kwa makini mwenyekiti wenu anaelekeza nin :pedroP: ?
UWT si mpo mnatosha
 
Unajuaje wamepuuza? Walireport kwako? Au ramli tu kama kawa?
umeshatapeliwa kwanza kamchango ka spirit na nyama gentleman?
au bado unatafakari mbinu za kumkwepa kibaka wa kisiasa na ombaoba pesa wa chadema, kabla sijakujibu?:pedroP:
 
Mimba ya Lissu mpaka uzae tutajua mengi.
Gentleman,
kwanini unawadhalilisha wajawazito wasio husika wala hawana hatia yoyote dhidi ya mjadala huu muhimu mezani?

tuwaache dada na mama zetu wajawazito popote walipo bila kuwahadaa wala kuwanyanyapaa kwa namna yoyote ile.

na ikiwa kuna kufilisika mawazo mapya na fikra mbadala, ni muhimu kukaa kimya tu ndugu zangu:NoGodNo:
 
Back
Top Bottom