Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
kwahiyo mama Ima,UWT huna akili, Edo wa ACT ndiyo alitaka waungane, Wapi Lisu amesema waungane? shame on you
UWT si mpo mnatoshakwahiyo mama Ima,
BAWACHA hamfahamu kua, mwenyekiti wa chadema taifa alitoa wito wa vyama vya upinzani kuungana nae kuelekea useless na nonsense No reform No elections movement kuelekea uchaguzi mkuu?
mbona BAWACHA mna kiburi sana aise? hamtaki kabisa kufuatilia kwa makini mwenyekiti wenu anaelekeza nin?
Kwani mwamposa huyu?umeshatapeliwa kwanza kamchango ka spirit na nyama gentleman?
au bado unatafakari mbinu za kumkwepa kibaka wa kisiasa na ombaoba pesa wa chadema, kabla sijakujibu?
Gentleman,Mimba ya Lissu mpaka uzae tutajua mengi.
Na wewe huna kazi ya kufanya zaidi ya kusubiria jamaa aposti ulalamike?Hauna kazi ya kufanya wewe? Muda wote ni habari za CHADEMA tu
Wewe fanya kazi achana na huyo, au na wewe huna kazi za kufanya kila siku kufuatilia nyuzi za Tlaatlaah ?Hauna kazi ya kufanya wewe? Muda wote ni habari za CHADEMA tu
UWT mnafanya lini uchaguzi?tangu BAWACHA kata ya sombetini kukutema kwenye uchaguzi hutamani na wala hutaki kabisa kufutilia mambo ya chadema,
relax bana ndio demokrasia ilivyo
Sawakushindwa uchaguzi BAWACHA ni kitu mbaya sana aise dah
Lazima mjinyeena Stephen Wasira kawang'ang'ania vizuri sana,
mtasema yote mbona mdahalo lazima ufanyike , kibaka atafuatwa huko huko kwao singida