Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
🥴Huo ulimi pleaseee🙆auntie imekaa poa zaidi😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥴Huo ulimi pleaseee🙆auntie imekaa poa zaidi😋
Ni poa kabisaaa!Uko powaaaaah...?
Acha tukuite shangazi ila kuna vijana wa hovyoo wataanza kukuita mshangazi 😄😄😅Sitaki kabisa...ni kheri niitwe jina langu
😁😁 kuna habari gani uko majuu shangazi..?au kumepoa kama uji wa jaNaNi poa kabisaaa!
It's okay ....huwezi zuia mtu kutamka ajisikiacho hata ivo😊Acha tukuite shangazi ila kuna vijana wa hovyoo wataanza kukuita mshangazi 😄😄😅
Ni vile tu wanangu kunisumbua likizo hii,shule zifungue tu ....mwasumbua kweli🤨😁😁 kuna habari gani uko majuu shangazi..?au kumepoa kama uji wa jaNa
😋😋 sawa sawa sawa sawaaaaa shangaziiiIt's okay ....huwezi zuia mtu kutamka ajisikiacho hata ivo😊
😁😁Achabtuenjoy shuke zikifunguliwa mtakua mnatumiss kwaiy kwa sas tunawasumbua kidgNi vile tu wanangu kunisumbua likizo hii,shule zifungue tu ....mwasumbua kweli🤨
Kula nyamaaa nyamazaaa😀😀😀😀Niaje mdau unayesoma huu uzi, kama kichwa cha habari kinavyosema unahisi watoto wetu watatumia maneno gani kama misemo iliyosemwa na watu tuliopo kizazi hiki.
Weka comment yako chini mtu wangu tuone yatakuwa ni yapi.
🤣🤣🤣🙌😁😁Achabtuenjoy shuke zikifunguliwa mtakua mnatumiss kwaiy kwa sas tunawasumbua kidg
🤣🤣🤣 KabisaKula nyamaaa nyamazaaa😀😀😀😀
Asumani weweeeeeeManeno kidogo.... Pesa mingiii 😀😀😀😀
Ntakula nikimaliza kulaUnakula kwanza ndiyo ule?
Hizi naona zitakua nahau😀😀😀😀😀😀 au vitendawili🤣🤣🤣 Kabisa
Asumaniiiii kula bomuAsumani weweeeeee
asumani weweeeeeeee
2090 wakisema wazazi wetu walikuwa majiniazUtopolo... [emoji3][emoji3][emoji3]Hii ilikua ni yanga
Makolo... [emoji3][emoji3][emoji3]Hii ilikua ni simba wakishangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2067 huko