Unadhani ni timu gani imeonesha udhaifu kwenye hatua ya robo fainali mashindano ya CAF champion league mwaka huu?

Unadhani ni timu gani imeonesha udhaifu kwenye hatua ya robo fainali mashindano ya CAF champion league mwaka huu?

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Robo robo FC/jaribu tena FC naona ndiyo imekuwa timu dhaifu kuliko zote zilizopata nafasi ya kuingiza hatua ya robo fainali.

Wameshindwa kutumia uwanja wa nyumbani vizuri tena kuanzia mwanzo wa mchezo dk ya 5 TU ikamaliza mchezo. Hii ni dharau kwenye soka letu haiwezekani timu itoke mbali huko Misri ije icheze na kuchukua ushindi ndani ya dk 5.

Huku tukishuhudia sajili bora kabisa mchezaji machachari na mshambuliaji hatari aliyesajiliwa kwa gharama kubwa kuja timu KUBWA kijana mdogo FREDY akikaa benchi na kusubiri kwenda kuwafunga Al Ahaly nyumbani kwao.
 
Second inabidi ikamilike
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
images (1)-1.jpeg
 
Robo robo FC/jaribu tena FC naona ndiyo imekuwa timu dhaifu kuliko zote zilizopata nafasi ya kuingiza hatua ya robo fainali.

Wameshindwa kutumia uwanja wa nyumbani vizuri tena kuanzia mwanzo wa mchezo dk ya 5 TU ikamaliza mchezo. Hii ni dharau kwenye soka letu haiwezekani timu itoke mbali huko Misri ije icheze na kuchukua ushindi ndani ya dk 5.

Huku tukishuhudia sajili bora kabisa mchezaji machachari na mshambuliaji hatari aliyesajiliwa kwa gharama kubwa kuja timu KUBWA kijana mdogo FREDY akikaa benchi na kusubiri kwenda kuwafunga Al Ahaly nyumbani kwao.
actually sio udhaifu, ni ilifanya makosa kidogo wengine wakayatumia kama fursa kujipatia ushindi 🐒

Lakini kiujumla ukitazama timu zote kwa makini, haipo wala hakuna timu dhaifu, wala mnyonge kwa mwingine, CAF champion this season 🐒

kila timu imejiandaa vizur na imejipanga na kujizatiti kutwaa ushindi dhidi ya nyingine...
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Mkuu kama umepanic hivi .easy tu acha watu wapende soka..hahahahaha
 
Robo robo FC/jaribu tena FC naona ndiyo imekuwa timu dhaifu kuliko zote zilizopata nafasi ya kuingiza hatua ya robo fainali.

kijana mdogo FREDY akikaa benchi na kusubiri kwenda kuwafunga Al Ahaly nyumbani kwao.

Takwimu haziongopi. Simba ni mshindi wa pili peke aliepata bahati ya kubaki robo. Kudhihirisha kwamba huyu ni second runner umeona matoke mabingwa katika nchi zao zote wamesuruhu isipokuwa huyu tu alieingia kama timu mshindi wa pili ktk nchi yake.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja twende moja kwa Moja Kwenye jibu....

Timu Dhaifu ni Utopolo.

Na SA anapigwa kipigo Cha Mbwa Koko.
 
Yaani katika timu nane, eti timu moja pekee ndiyo imefungwa!! Na ni timu moja tu ndiyo imeshinda! The rest, ni sare ya 0-0!!

Hapa unaona kabisa timu pekee iliyofungwa ndiyo dhaifu kwenye hii hatua.
 
Sio tu usajili ndugu.

Nimefanya kazi simba na akina senzo part time.

Msistizo wetu mkubwa ulikuwa ni.
UWEKEZAJI BORA
UONGOZI BORA
WACHEZAJI BORA.

Tukatatimuliwa
Hahahahaha ndio maana una hasira nao...tunaeza tukawa tunajuana..

Nilikua na simba sana hasa ile ya Kaburu na baadae Mkwabi...nimesafiri nao ndani na nje ya nchi mara kibao ya mwisho ni safari ya Malawi..nikaachana nao ..
 
Ila Simba Viongozi wake waamke ni kama wamelala na kutegemea propaganda za Ahmed Ally.
 
Back
Top Bottom