Unadhani Tamasha ya Kizimkazi linaendeshwa kwa fedha za umma au kuna wahisani?

Unadhani Tamasha ya Kizimkazi linaendeshwa kwa fedha za umma au kuna wahisani?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Watumishi wa umma hasa viongozi wakuu wa taasisi na mashirika ya umma wamesafiri kutoka Dodoma na mikoa mingine kwenda Zanzibar .

Wasanii na waandishi wa habari wamekusanyika Zanzibar

Vikundi vya ngoma na wananchi mbalimbali hasa wanaccm wapo wapo Zanzibar

Je, gharama hizi zinalipwa na kodi za wananchi au kuna wafadhili wanagharamia?

JPM alifanya haya Chato na SSH anafanya haya Zanzibar , kuna sustainability? Kiuchumi Taifa linanufaikaje na Matamasha haya? Je, yapo kwenye ilani ya chama tawala? Yapo kwenye mpango wa Taifa? Nani anakwenda kupima kufaulu na kufeli kwa miradi kama hii?
 
Watumishi wa umma hasa viongozi wakuu wa taasisi na mashirika ya umma wamesafiri kutoka Dodoma na mikoa mingine kwenda Zanzibar .

Wasanii na waandishi wa habari wamekusanyika Zanzibar

Vikundi vya ngoma na wananchi mbalimbali hasa wanaccm wapo wapo Zanzibar

Je, gharama hizi zinalipwa na kodi za wananchi au kuna wafadhili wanagharamia?

JPM alifanya haya Chato na SSH anafanya haya Zanzibar , kuna sustainability? Kiuchumi Taifa linanufaikaje na Matamasha haya? Je, yapo kwenye ilani ya chama tawala? Yapo kwenye mpango wa Taifa? Nani anakwenda kupima kufaulu na kufeli kwa miradi kama hii?
Ni pesa za umma ndiyo zinatumika. Haya mambo hatukuyaona wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Utamafuni huu wa "Peleka kwetu" ulianzishwa na Magufuli na sasa huyu aliyerithi urais
 
Watumishi wa umma hasa viongozi wakuu wa taasisi na mashirika ya umma wamesafiri kutoka Dodoma na mikoa mingine kwenda Zanzibar .

Wasanii na waandishi wa habari wamekusanyika Zanzibar

Vikundi vya ngoma na wananchi mbalimbali hasa wanaccm wapo wapo Zanzibar

Je, gharama hizi zinalipwa na kodi za wananchi au kuna wafadhili wanagharamia?

JPM alifanya haya Chato na SSH anafanya haya Zanzibar , kuna sustainability? Kiuchumi Taifa linanufaikaje na Matamasha haya? Je, yapo kwenye ilani ya chama tawala? Yapo kwenye mpango wa Taifa? Nani anakwenda kupima kufaulu na kufeli kwa miradi kama hii?
Atleast Yanga tumeambulia million 50 za mama.

Unajitafutia vidonda vya tumbo bure.
 
ni moja ya mambo ya kipuuzi ya CCM, alianzisha jiwe na watakaofuata wataendelea kufanya.

Bila ya kuing'a CCM hatuwezi kufika
 
Back
Top Bottom