Unaenda hotel unaambiwa ina usalama wa kutosha, unajisikiaje? Na mwonekano wake uko poa, uzio mnene, na security guard akiwa getini. Kwa upande wangu huwa napende kujua
hali halisi ya usalama wa hotel niifikiayo kila ninapokuwa safarini. Lakini huwa nashangazwa ninapoingia chumbani
na kukuta tangazo mlangoni, au karatasi la maelezo mezani kuwa, "ACHA/KABIDHI VITU VYAKO VYA THAMANI PALE
RECEPTION VIKIWEMO HELA, SIMU, LAPTOP NK, HOTEL HAITAHUSIKA NA UPOTEVU WOWOTE" Je usalama
(security state) wa hoteli hiyo utaupimaje? Au kwa nje ni salama, ila kwa ndani hawako salama.
Je? wahudumu ndo tatizo?
Je? wahusika wa hotel wanataka kujua una vitu gani vya thamani?
Maana hata nyaraka tunazokuwa nazo ni za thamani na pengine zaidi ya hela, laptop au sim. Je na hizo nyaraka
tunakabidhi kaunta? maana ni siri na hawatakiwi kuzijua, na mwizi hachagui cha kuiba, na nguo ya ndani je? tuache kaunta? maana nayo ni ya thamani. Jamani nisaidie kuchekecha hiki kitu kichwani ili wenye mahotel watuambie
usalama wa hotel uko wapi? Ni uzio mnene au ni ndani ya vyumba?
hali halisi ya usalama wa hotel niifikiayo kila ninapokuwa safarini. Lakini huwa nashangazwa ninapoingia chumbani
na kukuta tangazo mlangoni, au karatasi la maelezo mezani kuwa, "ACHA/KABIDHI VITU VYAKO VYA THAMANI PALE
RECEPTION VIKIWEMO HELA, SIMU, LAPTOP NK, HOTEL HAITAHUSIKA NA UPOTEVU WOWOTE" Je usalama
(security state) wa hoteli hiyo utaupimaje? Au kwa nje ni salama, ila kwa ndani hawako salama.
Je? wahudumu ndo tatizo?
Je? wahusika wa hotel wanataka kujua una vitu gani vya thamani?
Maana hata nyaraka tunazokuwa nazo ni za thamani na pengine zaidi ya hela, laptop au sim. Je na hizo nyaraka
tunakabidhi kaunta? maana ni siri na hawatakiwi kuzijua, na mwizi hachagui cha kuiba, na nguo ya ndani je? tuache kaunta? maana nayo ni ya thamani. Jamani nisaidie kuchekecha hiki kitu kichwani ili wenye mahotel watuambie
usalama wa hotel uko wapi? Ni uzio mnene au ni ndani ya vyumba?