Unaeza fanya mapenzi na mtu mwenye V.V.U ukatoka salama?

Bado mda asubilie mpaka miez mitatu ndiyo atajijuwa kama ni + au -
Sema akiona ndani ya mwez na nusu au miez miwili amepoteza uzto wake kwa 10% ujue hapo kuna dalili za yeye kuwa +
Kuna sababu nyingi sana za kupoteza uzito...siyo maambukizi ya ukimwi tu
 
Kuna sababu nyingi sana za kupoteza uzito...siyo maambukizi ya ukimwi tu
Inategemeana na kesi , kama huyo ilo halikwepeki maana immunity yake itakuwa dhaifu siku hadi siku
Hatokuwa sawa na yule anaye jipunguza unene na uzito
 
Daaaah nikisikiaga hizi mada za Ukimwi sijui kwenda kupima huwa nakosa amani kabisa...njia nilizopita huko nyuma tena bila ndom nikienda kupima sikosi isee....bora nijikalie tu hadi hapo nitakapoanza kukonda
 
Bado mda asubilie mpaka miez mitatu ndiyo atajijuwa kama ni + au -
Sema akiona ndani ya mwez na nusu au miez miwili amepoteza uzto wake kwa 10% ujue hapo kuna dalili za yeye kuwa +
Inategemea ametumia kipimo gan. Kuna vipomo vingine wiki tu kma umeambukizwa VVU vinaonekana
 
Hahahahahha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] Mkuu, Ukija kuupata nadhani utajutia haya maneno[emoji134]

Sijui umeyapata wapi haya!!
 
Daaaah nikisikiaga hizi mada za Ukimwi sijui kwenda kupima huwa nakosa amani kabisa...njia nilizopita huko nyuma tena bila ndom nikienda kupima sikosi isee....bora nijikalie tu hadi hapo nitakapoanza kukonda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] mpaka pale utapoanza kukonda[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]

Mimi nahisi nitapima ngoma sio muda mrefu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] , japo sio kwa hiari yangu, Mamaaaweeee[emoji134] [emoji24] Mungu anijaalie Visiwepo Mwilini.
 
Daaaah nikisikiaga hizi mada za Ukimwi sijui kwenda kupima huwa nakosa amani kabisa...njia nilizopita huko nyuma tena bila ndom nikienda kupima sikosi isee....bora nijikalie tu hadi hapo nitakapoanza kukonda
HAHAHAHAHAHAHA,pole sana.
 
Mkuu acha kabisa yaan.
 
Inategemea ukali wa mechi na maandalizi uloyafanya kwa mpenzi wako. Kuna uzi humu unaeleza vizuri acha uvivu google upate majibu zaidi.
 

Dar Wood
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…