Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Mathalani, za kwenywe kidevu zinaitwa ndevu, chini ya pua kwenye lip ya juu ya mdomo zinaitwa sharubu, za machoni zinaitwa kope, za juu ya macho zinaitwa nyusi, za kifuani zinaitwa love garden, za kichwa zinaitwa nywele, na za huko chini ndio kama mnavyojua tena.
Sasa, hizi za kwenye kwapa, ambazo saa zingine zinakua kama zimeshika au kunasa vumbi zito, zinaitwaje, au jina lake ni gani?
Lakini pia kuna hizi za kwenye migongo ya vidole vya mikono na miguu, nazo pia zinaitwaje au hazinaga majina?
Mfano, mtu anaweza kukushauri mathalani, rafiki, nyoa ndevu zako tafadhali ni ndefu mno, au akakuuliza kwanini umenyoa nyusi au kubandika kope?
Sasa hebu niambie za kwapani namshaurije mtu aziondoe bila kutaja neno nywele? natafuta kujua zina jina lake kama za kwenye maeneo mengine, ama hazina jina...
Sasa, hizi za kwenye kwapa, ambazo saa zingine zinakua kama zimeshika au kunasa vumbi zito, zinaitwaje, au jina lake ni gani?
Lakini pia kuna hizi za kwenye migongo ya vidole vya mikono na miguu, nazo pia zinaitwaje au hazinaga majina?
Mfano, mtu anaweza kukushauri mathalani, rafiki, nyoa ndevu zako tafadhali ni ndefu mno, au akakuuliza kwanini umenyoa nyusi au kubandika kope?
Sasa hebu niambie za kwapani namshaurije mtu aziondoe bila kutaja neno nywele? natafuta kujua zina jina lake kama za kwenye maeneo mengine, ama hazina jina...