The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Saivi naangalia mpira,huku nikimtafakari mpenz wangu,naona anachelewa kuja,watanifilisi hawa matapeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaamka salama tu ndugu yangu na kesho itakuwa nzuri sana kwakoKufikiria niliyofanya mchana kutwa na nitayofanya kesho endapo nitaamka salama
Krb tu watching moviesHi
Usiku unapendelea kufanya nini?
Usiku umekuwa mwingi ndugu yangu, shukuru kwa ulicho jaliwa funga siku tu.Nipo kijiweni nasubiri abiria wawili watatu nifunge siku
Bodaboda mkuuBajaji bodaboda?
Tatizo marejeshoUsiku umekuwa mwingi ndugu yangu, shukuru kwa ulicho jaliwa funga siku tu.
Hebu nipate japo moja na mimi😂😂😂😂Kuangalia zile videos zilizo sababisha lile jukwaa likafutwa....🤣
Hayo madeni yapo jana juzi na hata kesho, yasikotoe jasho sana, kwanza hautafungwa kwayo.Tatizo marejesho
Eniwei acha nifate ushauri wako
Sawa mkuu,nashukuru kwa ushauriHayo madeni yapo jana juzi na hata kesho, yasikotoe jasho sana, kwanza hautafungwa kwayo.
AminaUtaamka salama tu ndugu yangu na kesho itakuwa nzuri sana kwako
Mmmmh thubutuuu 😂😂😂😂Kusoma vitabu, kutafakari kuhusu maendeleo ya nchi pamoja na uongozi kwa ujumla, nafatilia vipengele vyote vilivyo kwenye katiba ya nchi navisoma na kuvielewa kwa kina zaidi
Mkuu wewe si una familia lakiniKuangalia zile videos zilizo sababisha lile jukwaa likafutwa....🤣
Ashlababalala sheba shuta shataaa tatata pututyu patat sheeeba sheee...
Nakubali mastaMkuu ninavyo vyote hapa kwa PC. Huwa nainjoi sana