Unafanyaje Ukikosea kujaza namba ya mtihani TCU?

Unafanyaje Ukikosea kujaza namba ya mtihani TCU?

young_mesult

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
133
Reaction score
35
Habari za mchana wana JF.

Kuna mdogo wa rafiki yangu amekosea namba ya kujaziaa form zile za TCU, amejaza ya mwenzake wa pembeni yake sasa hapo itakuaje maana info zingine kama jina mahali yote ya kwake ila namba ya mtu mwingine naomba ushauri hapo ni muhimu sana.
 
Habari za mchana wana JF.

Kuna mdogo wa rafiki yangu amekosea namba ya kujaziaa form zile za TCU, amejaza ya mwenzake wa pembeni yake sasa hapo itakuaje maana info zingine kama jina mahali yote ya kwake ila namba ya mtu mwingine naomba ushauri hapo ni muhimu sana.
Hiyo Dogo mtata kweli, amepiga chabo Mpaka namba ya mwenzie, Huyo Kama kashindwa kujua hata namba yake anajaza ya mwenzie bora akae home tu asije leta majanga
 
acha habari zako hapa. unapojaza ile fom ya tcu ukikosea namba wanakupa ujumbe kuwa namba uliyoingiza sio sahihi.

lakini pia wewe umebuni hii story tcu system yao haiwezi kufanya ivo cuz kuna sehemu ya kujaza namba ya Form 4 & 6 sasa ukijaza namba ambayo sio yako system inagoma cuz itaona majina ni tofauti. au utwambie namba ya FORM 4 & 6 kajaza za mwemzake kitu ambacho hakiwezekani.

jipange upya maana umefeli kudanganya
 
acha habari zako hapa. unapojaza ile fom ya tcu ukikosea namba wanakupa ujumbe kuwa namba uliyoingiza sio sahihi.

lakini pia wewe umebuni hii story tcu system yao haiwezi kufanya ivo cuz kuna sehemu ya kujaza namba ya Form 4 & 6 sasa ukijaza namba ambayo sio yako system inagoma cuz itaona majina ni tofauti. au utwambie namba ya FORM 4 & 6 kajaza za mwemzake kitu ambacho hakiwezekani.

jipange upya maana umefeli kudanganya

Daah Jamaa wangu.una matatzo kweli..haya nmetunga pita kulee
 
Hebu toa ufafanuzi vizuri umekosea kujaza no ya 4m4 au 4m6 au zote kwa pamoja? Maana automatically TCU wapo makini sana kwenye system yao ukikosea hata herufi moja tu mzigo unazingua sasa sijui ww umejaza vipi.
 
Ukikosea namba lazima system ikwambie sasa ni kwamba huyo mdogo wako alijaza namba ya huyo rafik yake ya form 4 na form 6 au? Mwambie Elimu haimuhusu kama amefanya hilo kosa

Otherwise hii kitu umetunga
 
Hebu toa ufafanuzi vizuri umekosea kujaza no ya 4m4 au 4m6 au zote kwa pamoja? Maana automatically TCU wapo makini sana kwenye system yao ukikosea hata herufi moja tu mzigo unazingua sasa sijui ww umejaza vipi.

apo ni pagumu kuelewa yaani. sijui kama ni ya kweli yaliyoandikwa na mdau
 
Npo Arusha makao makuu yapo Dar es salaam navyojuaa...

Kama upo Arusha nenda pale Naura Spring Hotel kuna semina ya Vyuo Vikuu. Ukifika pale utakuta watu wa TCU kutoka makao makuu uewaeleze hilo tatizo. Watakusaidia
 
Tafuta watoto wadogo ndio uwaambie huo ujinga. Hujui hata maana ya integration ,database.
 
Jaman selection yangu ipo ivi udsm-law,mzumbe-law,mzumbe-human resource management nipo nmeamua kuselect course tatu coz ivo ndo vyuo navovitaka....swali langu ni kwamba nipo sahihi ktk selection yangu...kwa wanaoweza kusaidia jamani so wale wa kucriticise..thanks
 
Back
Top Bottom