Unafanyaje Ukikosea kujaza namba ya mtihani TCU?

Unafanyaje Ukikosea kujaza namba ya mtihani TCU?

Nijibuni jaman pls

Jaman selection yangu ipo ivi udsm-law,mzumbe-law,mzumbe-human resource management nipo nmeamua kuselect course tatu coz ivo ndo vyuo navovitaka....swali langu ni kwamba nipo sahihi ktk selection yangu...kwa wanaoweza kusaidia jamani so wale wa kucriticise..thanks

Matokeo yako ya form 6 yakoje??? maana pia selection inaenda na ufaulu wako na competition ilivyo kwenye hiyo course uliyoomba kama wengi walioomba wamekuzidi possibility ya kupatA nayo inapungua .
 
Sasa wewe kijana ulitumia soft copy au hard copy,maana tcu ni soft tu na soft unaruhusiwa kuedit na ndio maana wamekupa option za editing,pale kuna form for details,form six details,nenda badilisha namba ukishabadilisha tu mtandao utasoma matokeo ya namba yako na hapo ndipo utaprove kama ni yako ama siyo.FANYA HIVYO.SIJUI KAMA NITAKUWA NIMEKUELEWA.
 
Habari za mchana wana JF.

Kuna mdogo wa rafiki yangu amekosea namba ya kujaziaa form zile za TCU, amejaza ya mwenzake wa pembeni yake sasa hapo itakuaje maana info zingine kama jina mahali yote ya kwake ila namba ya mtu mwingine naomba ushauri hapo ni muhimu sana.

Kumbe alijaza na jina lake kwenye form ya TCU?
 
Back
Top Bottom