You see? Mamushka is always there for me. FL! una swali jingine?
Kashasepa! And the winnnnnnner isssssss...............na hilo jingine if at all lipo ntalipangua vilevile......
Tatizo la kuvunjika kwa ndoa limekuwa kubwa, sio hapa kwetu tanzania tu, bali pia ulimwenguni kwa ujumla.
Je unafanyeje ili kuidumisha ndoa yako?
Dondosha siri ya mafanikio ya kusimama imara kwa ndoa yako, ili na mwenzako aweze kunufaika na darasa jipya la ndoa.
Mungu atakusaidia utafika tusijafika uncle nikifika will let u knw!