GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Mkuu nimetafuta vyanzo vyote vya habari vya club sijaona hayo matokeo,labda unisaidie kunambia ni chanzo kipi cha habari cha club ulipoyaona hayo matokeo
Uzi huu haupo positive!! Ni kama Kuna jambo ulitaka kulisema lkn umeishia hewani na kubakia unalaumu tu.Mechi zote ambazo Klabu yangu 'pendwa' ya Simba SC imekuwea ikicheza hasa hizi zinazoitwa 'Mechi Mazoezi' tukishinda tu utaona katika Kurasa mbalimbali za Mitandao ya wana Simba SC na hata Klabu ya Simba huwa tunapewa 'Matokeo' haraka sana. Kwa mujibu wa Mtangazaji wa Clouds FM Shaffih Dauda jana mwishoni mwa Kipindi chao cha Michezo cha 'Sports Extra' alisema ( alihabarisha ) kuwa Simba SC ilicheza 'Mechi Mazoezi' na Timu ya Jeshi pale Mwenge Vinyago ya Green Warriors ambayo kiukweli huwa si tu inatusumbua lakini pia inatutesa kila tukikutana nayo na kama yetu Simba SC tulichezea 'Kichapo' kizuri tu kutoka Kwao.
Wana Simba SC Wenzangu hii 'dhana' kwamba Simba SC yetu haipaswi 'Kufungwa' tuiache na nimesikitika kuona taarifa hii haijaletwa Kwetu jana.
Clouds walitangaza Jana mwishon mwa kipindi chao cha michezo, cha ajabu hawakuelezea zaidi, ngapi ngapi, wafungaji nani, Zaid ya kusema Simba huwa hafui dafu, inaonyesha hawakuwa na uhakikaUzi huu haupo positive!! Ni kama Kuna jambo ulitaka kulisema lkn umeishia hewani na kubakia unalaumu tu.
Angalia hata manara amekanusha kwamba clouds hiyo habari wamezusha jana simba walikuwa gym hakukuwa na mechi yoyoteMimi ni 'Mjumbe' tu kama una 'Hasira' nenda 'Kamkwide' Mtangazaji wa Clouds FM Shaffih Dauda kwani ni Yeye ndiye alisema yote haya ile Jana.
Simba wanaficha ili isiadhiri mahudhurio ya mashabiki kwenye mechi ijayo, ila ni ukweli walifungwa 2-1Angalia hata manara amekanusha kwamba clouds hiyo habari wamezusha jana simba walikuwa gym hakukuwa na mechi yoyote
Kwahiyo tukusikilize wewe kama source ya habari au tusikilize official statement ya msemaji wa timu,ndo maana mliitwa nyaniSimba wanaficha ili isiadhiri mahudhurio ya mashabiki kwenye mechi ijayo, ila ni ukweli walifungwa 2-1
Huu mchezo hauhitaji hasira, timu yako ikifungwa ugulia kimya kimya mkuu!Kwahiyo tukusikilize wewe kama source ya habari au tusikilize official statement ya msemaji wa timu,ndo maana mliitwa nyani
Wewe unamuamini sana shafih dauda?Basi kama Wao walifanya iwe 'Siri' namshukuru Shaffih Dauda kuiweka 'hadharani' na wana Simba SC hata habari 'mbaya' tuwe tunazisema tu pia.
Mmekosa kazi mmeamua kuzusha hamwoni hata aibuHuu mchezo hauhitaji hasira, timu yako ikifungwa ugulia kimya kimya mkuu!
Alipigwa ngapi mtani tuanze kusambaza taarifa kwa wenye simba yao?
Mbona kwenye ukurasa wa insta wa shaffih nimeona matokeo ya Yanga kucheza na Mlandege, pia Azam kecheza na Trans camp, mbona hiyo mechi ya Simba na Green warriors hajapost? Km kweli Simba ilicheza hiyo mechi
Uzi huu haupo positive!! Ni kama Kuna jambo ulitaka kulisema lkn umeishia hewani na kubakia unalaumu tu.
Clouds walitangaza Jana mwishon mwa kipindi chao cha michezo, cha ajabu hawakuelezea zaidi, ngapi ngapi, wafungaji nani, Zaid ya kusema Simba huwa hafui dafu, inaonyesha hawakuwa na uhakika