'Unafiki' huu sijauzoea japo ni mwana Simba SC tena 'lia lia' kabisa, jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?

'Unafiki' huu sijauzoea japo ni mwana Simba SC tena 'lia lia' kabisa, jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?

Pale mtu na demu wake wanapoongoza Taasisi

After Romance wanaamu kuipeleka timu icheze na Urafiki stars [emoji2]
 
Hii inadhihirisha Tanzania tuna waaandishi na watangazaji makanjanja.
Leo nimeona Shafih akikanusha hiyo habari na kusema aliona kwenye page ya oscarjunior. Sasa najiuliza inakuwaje mwandishi mkubwa kama huyo anaripot habar bila kuwa na reliable source.

Mbona Shafih Dauda anajuilikana wazi tu kuwa ni Mdaku mchonga kucha.
 
Back
Top Bottom