Bila shaka nawe uliingizwa chaka...jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?
GENTAMYCINE Shaffih kaomba radhiiii,,ndio uongee sasaView attachment 1572526
Hii inadhihirisha Tanzania tuna waaandishi na watangazaji makanjanja.
Leo nimeona Shafih akikanusha hiyo habari na kusema aliona kwenye page ya oscarjunior. Sasa najiuliza inakuwaje mwandishi mkubwa kama huyo anaripot habar bila kuwa na reliable source.
Mods watoe hii takataka maana kuna vichwą vibovu vyenyewe vinăishia kuso heading tu kisha vinatiririsha utopolo wao bil@ kupitia maoni ambayo ndio yamebeba ukweli,
Soma tena title ya uzi uone kama inaonyesha umemnukuu Shaffih. Tena umeongeza na maneno yako kabisa kwamba hupendi unafiki. Uzuri si rahisi ku-edit title ya thread, na imebaki kama kumbukumbuSi mlikuwa 'hamniamini' pale niliposema kuwa Mtangazaji wa Clouds FM Shaffih Kajuna Dauda ndiyo amesema hivyo? Tatizo lenu kubwa ni Unafiki.
Mkuu, angalia maneno yaliyoongezwa chumvi kwenye title, amesema hapendi unafiki. Title zenye kunukuu chanzo kingine huwa haziongezewi manenoMods watoe hii takataka maana kuna vichwą vibovu vyenyewe vinăishia kuso heading tu kisha vinatiririsha utopolo wao bil@ kupitia maoni ambayo ndio yamebeba ukweli,
Bila shaka nawe uliingizwa chaka
Soma tena title ya uzi uone kama inaonyesha umemnukuu Shaffih. Tena umeongeza na maneno yako kabisa kwamba hupendi unafiki. Uzuri si rahisi ku-edit title ya thread, na imebaki kama kumbukumbu
Kutukana ni ishara ya kuishiwa hoja. Mimi hoja yangu si kunukuu uongo, ila kuongeza maneno yako juu ya yale yaliyonukuu uongo. Unataka kusema kwamba haya hapa chini yalikuwa ni maneno ya chanzo cha kiongo cha Shaffih, au ya kwako?Mbona hata Wewe 'Kumbukumbu' yako ya 'unavyobanduliwaga' bado tunayo? Hivi kama nimesema nimemsikia Shaffih Dauda hapo sijaweka wazi?
'Unafiki' huu sijauzoea japo ni mwana Simba SC tena 'lia lia' kabisa, jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?
Mkuu, angalia maneno yaliyoongezwa chumvi kwenye title, amesema hapendi unafiki. Title zenye kunukuu chanzo kingine huwa haziongezewi maneno
Kutukana ni ishara ya kuishiwa hoja. Mimi hoja yangu si kunukuu uongo, ila kuongeza maneno yako juu ya yale yaliyonukuu uongo. Unataka kusema kwamba haya hapa chini yalikuwa ni maneno ya chanzo cha kiongo cha Shaffih, au ya kwako?
Acha ujinga wewe, yani ukisikia neno kutoka katika hayo mabaraza yenu ya umbea huko mnaposafishana kucha unakuwa na kiherehere cha kukurupuka kuja kupost hapa? Fanya kauchunguzi japo kidogo.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nashukuru Moderators wa JamiiForums huwa hawana 'Masikio' wala 'Macho' ya ama 'Kumsikiliza' na 'Kumtizama' Mtu 'Dunderheaded' kama Wewe.
Huyo jamaa ni anajiona much know sana wakati ni mburula tu,Mkuu, angalia maneno yaliyoongezwa chumvi kwenye title, amesema hapendi unafiki. Title zenye kunukuu chanzo kingine huwa haziongezewi maneno
Bichwa boxHuna 'IQ' ya 'Kunielewa' Mimi GENTAMYCINE hata Siku moja na ninakushauri tu endelea 'Kufarijiana' tu na huyo 'Mnyengwaji' mwenzio uliyemjibu.
Akili za kuambiwa changanya na zakoSasa unakubali nini na tena unakataa nini? Hivi kwanini Mwenyezi Mungu nae huwa 'anapoteza' mno tu muda wake Kuumba 'Majuha' kama Wewe?
Alipigwa ngapi mtani tuanze kusambaza taarifa kwa wenye simba yao?
Sasa kwani hizo akili zake za kuchanganyia anazo? [emoji23]Akili za kuambiwa changanya na zako