Unafiki na chuki zinadhihirika katika migogoro ya kimataifa

Unafiki na chuki zinadhihirika katika migogoro ya kimataifa

Mashoga ni lazima wateteane so usishangae ukiwaona wanaisakama azam
Ni sababu shoga mwenzake shoga
 
Watu au Binadamu wanaishi na CHUKI ndani ya Akili zao roho na moyo na ili chuki mtu impatie furaha lazima amuone Binadamu mwenzake anapitia Magumu .

Mfano kuhusu hii Vita watu wamejaa chuki Sana
Donald trump katika Kitabu chake Cha big think kasema Simba anaua wanyama wenzake ili atibu njaa Ila Binadamu anaua Binadamu mwenzie ili Apate furaha ..so sikujua yule Jamaa Kama yupo na madini kiasi hiki


Mfano katika hii Vita Kama Dunia tulibidi kupamabana kuhakikisha watu wote nchi zote zinakaa kwa Amani na sio kutetea upande wowote maana Kama Vita ingekuwa haiusishi mauaji ya Aina yoyote Basi Mimi ningesimama na palestina
 
Mtu kama huyu hajaingia hapo Kwa bahati mbaya,hii planned kabisa.......lingekuwa ni jambo la kuwachukiza hata camera zingemkwepa ila kwasababu ndiyo target yao inakuwa wengi waone ndiyo shida inapoanzia.....hapo huoni hata Stewart wakimfukuzia
Nimesema post hiyo ni Wadhamini hivyo hausiani moja kwa moja na hoja nilizotoa , na hayo uliyoyasema nilifikiria kabla ya kupost ndio maana sikuambatanisha na hoja bali imekuwa kama Wadhamini wa kuchangamsha thread.
 
Kwa hiyo mtoa hoja ulitaka palestina isapotiwa kwenye huo uzinduzi wa ligi mpya kupita azam tv, unajitoa ufahamu hujui kuwa kuna wanaoisapoti israel na wanataka kuonesha hivyo. Kuhusu kuonesha mambo na alama za ushoga kwenye mambo ya mpira, mpira una wenyewe ufahamu hilo we mtoa hoja na ili uelewe hilo kwa kina nenda kasome kitabu cha mazito duniani yenye utata kiitwacho HOW THEY STOLE A GAME kilichoandikwa na mwandishi wa habari za uchunguzi aitwaye David Yallop. Mpira una siasa nyingi na hutumika kupitisha ajenda nyingi duniani
Sijataka Palestine isapotiwe bali nimekemea chuki iliyoonyesha na baadhi ya watu katika uzi huu akiwemo Bams kwa kitendo cha Azam media kurusha kipande cha mashabiki kuonyesha bango la Palestine kitu ambacho sio sawa.
IMG_20231021_115048.jpg


IMG_20231021_114815.jpg
 
Huko mbali sana Hatukuona bandiko/habari hata kwenye mechi kubwa hapa ndani ya kutetea hata ndugu wamasai au kwavile sio ndugu zetu katika imaan?
Bango wameweka WaMisri sio wabongo, Ingekuwa wabongo tungewauliza hilo swali.
 
Moja kwa moja.

Nimeona nije na mada hii baada ya kuona huu uzi leo Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa! nikakuta za comments mbalimbali.

Nije katika hoja, kwamba mnasema football haipaswi kuchanganywa na siasa na mambo mengine kinyume cha football pamoja na kutoa povu kwa Azam Tv, sasa mbona Ulaya kwa wenye soka hilo jambo lilifanyika waziwazi na hamkujitokeza kupinga?

Nije katika mifano mgogoro wa Urusi na Ukraine tulishuhudia vilabu vikubwa Ulaya, wachezaji nk, waliweka wazi misimamo yao na hakuwa na shida wala chuki kama za baadhi ya wabongo wapuuzi haswa wa humu JF?

Picha za kusapoti uzi.View attachment 2788115

View attachment 2788119

Football haipaswi kuchanganywa na mambo mengine ila ikiwa kwa Ukraine na Mshoga ni fresh, Palestine ndio hawatakiwi? Nataka mseme bado hamjasema. View attachment 2788124

Uzi bado Unaendelea..

Cc : Maghayo yoga and others
wewe ndio wale mlioandamana na maflana ya magaidi wa kipalestina wanaoua watu na kimba alakbaru?
 
Mkuu urokole uchwara unao ibuka kwa kasi ndani ya nchi hii ni hatari sana usipo dhibitiwa, maana wafuasi wa haya makanisa ya kirokole waumini wake wamejaa chuki isiyo na sababu yeyote dhidi ya uislam.
Na wakristo wengi wa humu jf ni wafuasi wa haya makanisa uchwara.

Hiyo mada haijaletwa kwa lengo lingine zaidi ya chuki za kipumbavu dhidi ya waisilam.

Naona kama unajiongelesha,elezea maana ya makanisa uchwara? Halafu kwani mmekua chadema mpaka mkatazwe kuandamana au lazima wachezaji waingie na bendera za pelestina,je wanaongamkono israel wakiingia na bendera zao mgepinga? Nadhani shrikikisho walitumia busara zaidi katika nchi ambayo ni NAM.
 
Alieleta mada humu ni mmisri pia? Au kwavile wamasai sio ndugu zetu katika imaan
Swali na hoja mfu, wapalestina pia wapo wengi tu sio waislam, hatutetei uislam, tunatetea utu, kwa hiyo masuala ya imani hayapo, na hata wamasai wapo waislam, kwanini hatuwatetei? Kwa sababu serikali tukufu imeona wapi ni bora kwao kuishi na wamekubali kwa ridhaa yao
 
Swali na hoja mfu, wapalestina pia wapo wengi tu sio waislam, hatutetei uislam, tunatetea utu, kwa hiyo masuala ya imani hayapo, na hata wamasai wapo waislam, kwanini hatuwatetei? Kwa sababu serikali tukufu imeona wapi ni bora kwao kuishi na wamekubali kwa ridhaa yao
Una uhakika na ulichokiandika?
 
Id yako inafanana na ya mfia dini mmoja humu, huwa naishukia kama mwewe kila nionapo ikisapoti udini
 
Id yako inafanana na ya mfia dini mmoja humu, huwa naishukia kama mwewe kila nionapo ikisapoti udini
Taja ni nani huyo ? mimi sina ID yeyote zaidi ya hii
 
Na hapo Kongo DRC kwa mwezi tu wanakufa maelf ya watu,ila huwezi sikia chochote hata Media hazisemi kwasababu wananufaika sana na Mali za hapo,ila unasikia mtazania wa Gezaulole anasema pray for Palestine AU Israel.....huyo huyo hujawahi msikia labda kuusemea mgogoro wa Sudan hapo tu karibu............Watu wanaokufa Africa ni wengi kuliko hata hao tuonajifanya kuwaonea huruma lakini bado fikra zetu zimetawaliwa sana
Kwanza, sehemu ya watu wengi ndiyo ya kufikisha ujumbe muhimu/maalum maana unajuwa nalao umefika. Matokeo ni kitu kingine. Kuhusu kutojitokeza watu kuhusu swala la Congo, wewe unamlaumu nani? Je wewe ungejitokeza wa kwanza unadhani usingepata "support". Nafikiri itafika mahali tukubali ukilipa ubaya kwa ubaya hutatatua tatizo. Tukio la Hamas kwa Israel lazima lilaaniwe ana yale inayofanya Israel kwa Palestine lazima yalaaniwe. Lazima Israel ikubali kuwa haiwezi ikaendelea kuikalia Palestine alafu Wapalestine wakendelea kuipenda. Huu mgogoro hauwezi kutatuliwa kwa mabavu bila kuingizamo wasiyohusika...raia kwa ujumla, watoto, wanawake, na wanaume. Nimeweka wanaume makusudi, maana kila mtu anakimbia kutetea watoto na wanawake, kwani sisi wanaume siyo binadamu.
 
Oya acha ujinga , comment vitu vyenye maana.
Hahaha mimi na wewe. Umefanya nilipigwa ban id zangu zote six weeks. Na ID zangu za stress challenger kufungiwa mazima. Na kilichoniuma ID yangu ya maghayo ya kwanza JF tangu 2014 kuondolewa privilege features. Yani dogo nakuchukia kupita maelezo. Nitakunyima usingizi humu
 
Hahaha mimi na wewe. Umefanya nilipigwa ban id zangu zote six weeks. Na ID zangu za stress challenger kufungiwa mazima. Na kilichoniuma ID yangu ya maghayo ya kwanza JF tangu 2014 kuondolewa privilege features. Yani dogo nakuchukia kupita maelezo. Nitakunyima usingizi humu
Hahahhaha!! mods wametisha sana nimefurahi kusikia hivyo , ukijijiroga kuweka screenshot ya PM nikairepoti na kuwatg mods mpaka Maxence Melo nikaandika Bonge la gazeti kukuchongea ....
 
Kwa hiyo unadhani.., Israel angevamia DR Congo kisha akafanya hicho anachowafanyia Wapalestina,...Watu wangekaa kimya?!!

Hakuna taifa linalostahili kuonea taifa lingine,...hata DR Congo ingevamiwa na kufanyiwa kama yanayoendelea huko Palestina Watu wenye mioyo ya utu wangepaza sauti zao tu.


Lakini pia kumbuka case ya Congo na Palestina ni tofauti kabisa.

..kuna uzembe fulani ktk vita vya Congo.

..watu zaidi ya millioni 6 wamekufa lakini Waafrika tuko kimya.

..vita vya Wapalestina na Waukraine vinasemewa kwasababu Waarabu na Wazungu wanawatetea wenzao.

..Sisi Waafrika tunachukulia jambo la kawaida majirani zetu na ndugu zetu Wacongo millioni 6 kuuwawa ndio maana walioko mbali hawajali.
 
Back
Top Bottom