Ndugu TX,
Kufuta ulichobandika hapa, ambacho ndicho kinachofanyiwa rejea na wachangiaji siyo ustaarabu maana wachangiaji wanaonekana wazushi!
Rudisha, au omba Mods wafunge mjadala huu.
Ndugu yangu,
Nadhani tunachanganya mambo hapa.
1. Kichwa cha habari kinasema "Unafiki wa balozi wa KEnya tz"...Ukisoma mada unashangaa, badala ya kuona unafiki, unaona mtu anatoa ushauri wake kuwa, mkitaka kuanzisha mfanye homework yenu vizuri kwa maana wao ambao tayari wanazo, wanaona changamoto zinazowakabili.
2. Ulishawahi kusikia " best/good practices" that needs to be replicated? Kama jibu ni ndio, basi utakubaliana nami kuwa hakuna haja ya kufanya makosa pale mwenzio alishayafanya.Unachotakiwa ni kuchunguza alikosea nini na wapi na wewe uanzishe chako kwa kurekebisha yale makosa na siyo kuyarudia vilevile.
3. Inashangaza unaingiza udini hata mahali ambapo sio pake.Waraka - ambao ni mawazo ya kundi fulani katika jamii kuhusu suala fulani ambalo hata kikatiba watu wana uhuru kutoa mawazo yao, haifanani na kuanzisha taasis ndani ya mfumo wa serikali ambao watu wa imani zote watawajibika kugharamia kwa njia ya kodi zao.jARIBU KUTOFAUTISHA NDUGU.
4. Usihukumu watu kwa misingi ya dini kwa maana utashangaa utawabandika watu dini ambazo siyo zao!
Hivi akitokea Balozi wa Msumbiji ama Rwanda, akatoa ushauri wa ubaya wa Waraka wa Kanisa Katoliki kutakalika. Hayo hayatokuwa mawazo yake bali itaonekana ni kuingilia masuala ya nchi. Lakini huyu kwa kuwa yuko upande wa Wakristo, ahh anaonekana kasema.
mahakama kama hizi zimeshashindwa huko kenya, zinawaletea kichefuchefu na usumbufu, wanajuta kwanini walianzisha. ni bora ametoa ushauri ili watu waelewe, tusiingie kichwa kichwa.
Wakishindwa waKenya sisi kwanini tusiweze? hii ndo misimamo fubavu
Kwa akili zako unafikiria kuwa hakukuwa na shule za Kiislam zilizo taifishwa!? Hivi mpala leo bado upo na ile ile propaganda ya "hawakusoma hao"hakuna pesa yoyote ile ambayo selikali inawapa shule. na shule zenyewe hata selikali ingetoa wanasoma watu wa dini zote including waislam. pia hata kama ingekuwa hivyo, waislam pia wangekuwa na uhuru wa kujenga mashule yao ili wapate nao. zaidi ya yote, hata kama waliingia, wana haki kwasababu mashule yao yalinyang'anywa ili tuchukuliane na watu waliokuwa illiterate kwa kiwango kikubwa. nina maana, tuligawana umasikini au ujinga ili tusome wote. isingekuwa hivyo, basi, wakristo tu ndo wangekuwa wamesoma hadi leo. wengine wangekuwa wafanyabiashara za samaki wa feri wakikaa mbagala, manzese na magomeni. tulifanya hivyo kuwasaidia tu.shukrani hamna?
mahakama kama hizi zimeshashindwa huko kenya, zinawaletea kichefuchefu na usumbufu, wanajuta kwanini walianzisha. ni bora ametoa ushauri ili watu waelewe, tusiingie kichwa kichwa.
Wakishindwa waKenya sisi kwanini tusiweze? hii ndo misimamo fubavu
Haja sema Tanzania itashindwa. Yeye kasema kutokana na experience ya Kenya ni bora na Tanzania tuka liangalia vizuri jambo hili. Kwa hiyo usiweke maneno mdomoni mwake mkuu.
Hivi akitokea Balozi wa Msumbiji ama Rwanda, akatoa ushauri wa ubaya wa Waraka wa Kanisa Katoliki kutakalika. Hayo hayatokuwa mawazo yake bali itaonekana ni kuingilia masuala ya nchi. Lakini huyu kwa kuwa yuko upande wa Wakristo, ahh anaonekana kasema.