Unafiki wa majirani zetu watanzania

Unafiki wa majirani zetu watanzania

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Nyuzi kama hizi za kueneza chuki dhidi ya wakenya wanaoishi na kufanya kazi Tz hazihesabiki humu Jf.
>>>https://www.jamiiforums.com/threads/hawa-wakenya-hawana-huruma-tuwakazie.1026274/

Tukio la matamshi ya kichonganishi kutoka kwa mkenya mmoja tu, mbunge wa eneo bunge la Starehe, Mheshimiwa Charles 'Jaguar' Njagua limedhihirisha wazi unafiki wa majirani zetu watanzania.

Tofauti na wakenya na viongozi wao ambao walimkashifu vikali Jaguar kwasababu ya tamko lake. Watanzania huwa wanaona sifa kueneza chuki dhidi ya wakenya.

Rejelea lile tukio la kishetani, la kutia moto vifaranga kutoka Kenya au ngombe wa wafugaji kutoka Kenya walipopigwa mnada. Watanzania walisifia sana hatua hiyo ya rais wao, na sikuwaona wakikemea vikali tukio hilo kama wakenya.

Kwa watz waliowakashifu na kuwakemea wakenya kwa sababu ya tamko la Jaguar, na bado ndio nyinyi tu ambao huwa mnachangia kwenye kueneza chuki dhidi ya wakenya jueni kwamba 'what goes around comes around'. Acheni unafik, badilikeni.
 
Swala serikali ya Magufuli kuchoma vifaranga na kupiga mnada ng'ombe za wakenya halikuwa jambo jema na kila mwenye busara alilikemea hilo ukiacha wale wachache wa kuunga juhudi kwa kila jambo.

Lakini pia kumbuka kuwa kosa halirekebishwi ama kusawazishwa kwa kosa, jaguar kakosea na kama majirani tunapaswa kukemea kauli zozote zenye kutufitinisha na kujenga chuki kati yetu.

Africa ni moja na hasa East Africa imetuweka pamoja zaidi hivo tujenge uhusihano mzuri wenye manufaa kwa washirika wote wa E.A.C.
 
Yes Bishop I said it! Nyuzi kama hiyo hapo juu ni nyingi humu jf, tena saaanaaa. Sijui kwanini wenzako huwa wanadhani kwamba wakenya huwa hatuzingatii vitu kama hivi na kwamba huwa hatuna ufahamu wa hizi chuki za wazi wazi kabisa. Hata sisi pia ni binadamu, wenye damu kwenye mishipa kama nyie.
 
wachaga mabwashe wamejaa sana gikomba hilo sio siri, huwa hawana leseni wengine hata hati za kusafiria zii! sasa tukisema watupishe na sisi wanacchi tumiliki hizi biashara zao shida iko wapi jamani....si hata magu alipiga mnada ngombe za wamaasai kule namanga bila kusahau moto wa vifaranga😀🙄🐸
 
Swala serikali ya Magufuli kuchoma vifaranga na kupiga mnada ng'ombe za wakenya halikuwa jambo jema na kila mwenye busara alilikemea hilo ukiacha wale wachache wa kuunga juhudi kwa kila jambo.

Lakini pia kumbuka kuwa kosa halirekebishwi ama kusawazishwa kwa kosa, jaguar kakosea na kama majirani tunapaswa kukemea kauli zozote zenye kutufitinisha na kujenga chuki kati yetu.

Africa ni moja na hasa East Africa imetuweka pamoja zaidi hivo tujenge uhusihano mzuri wenye manufaa kwa washirika wote wa E.A.C.

Labda nikurekebishe tu hapo,

1. Vile vifaranga havikuwa vya mkenya kama ilivyo mihemko ya Media na Wakenya Wengi,
Vilikuwa ni Vya binti wa Kitanazania aliyevununua toka kenya na kuviingiza Tanzania Kimagendo.
Aliyepata Hasara hapo wala sio mkenya.

2.Suala la kupiga mnada has been the Practice,
Na kwa Taarifa yenu na wakenya wengine ni Kuwa Ng’ombe wa Uganda na Rwanda waliopigwa Mnada walikuwa ni Wengi kuliko wa Kenya, Sema noisemakers wanajulikana siku zote,
Pili, Upigaji mnada ni Jambo la Kawaida, Wale Ng’ombe walikaa siku tano bila wamiliki kujitokeza na
Kulipa fine kama ilivyoamriwa na mamlaka, Mlitaka Nini Kifanyike? mnadani tu,

Na ile ilikuwa ni funzo hakuna Mkenya yoyote aliyewahi vuka na Makundi ya Ng’ombe tena huku maana ilikuwa ni Kawaida wanakuja huku wanalisha mashamba ya watu mkitaka kuwakamata wanavuka boda upande wa pili.
Kiufupi, Kenya kule Ng’ombe akikamatwa kwenye eneo la mtu huwa anakula shaba, sijui wanalalamika nini hapa.
Hawa wafugaji wa Kenya ni Wasumbufu sana, Ikumbukwe Siku chache zilizopita Rais Museveni Alitoa oda kwa wanajeshi wake kupiga risasi mfugaji yeyote toka Kenya atakaevuka Boda kuingia uganda na hakuna Mkenya aliyejitokeza kukemea hilo. Wakenya ni Wanafiki sana.

Wakenya acheni kilialia.
 
wachaga mabwashe wamejaa sana gikomba hilo sio siri, huwa hawana leseni wengine hata hati za kusafiria zii! sasa tukisema watupishe na sisi wanacchi tumiliki hizi biashara zao shida iko wapi jamani....si hata magu alipiga mnada ngombe za wamaasai kule namanga bila kusahau moto wa vifaranga😀🙄🐸
Magufuli hajachoma kuku wala kuchukua ng'ombe wa Wakenya.
Waliotenda yale ni watu wa chini sana serikalini ambao hawapokei direct order toka kwa Raisi (Magufuli).

Wanasiasa wa Tanzania wamewapoteza zile siasa zao za kumsukumia Magufuli kila baya.
 
Kwani wakenya wangapi wako Tanzania hakuna kiongozi aliyewaambia wananchi wawapige. Kumpiga mtu ni jambo baya. Hakuna mtanzania alisema tuwapige wakenya wanachukua ajira au biashahara zetu
 
Magufuli hajachoma kuku wala kuchukua ng'ombe wa Wakenya.
Waliotenda yale ni watu wa chini sana serikalini ambao hawapokei direct order toka kwa Raisi (Magufuli).

Wanasiasa wa Tanzania wamewapoteza zile siasa zao za kumsukumia Magufuli kila baya.

mbona unasahau mkuu, magu ndio alitoa order mzee, rc alisema amepokea simu toka ikulu.
 
Nilisema watanzania wanacheza reverse psychology kwa hii maneno ya Jaguar.

They are the biggest culprits, lakini wanataka next time wanadhulumu Wakenya huko Tanzania, waseme kwamba Watanzania wanadhulumiwa vivyo hivyo hapa Kenya.
 
Taarifa zilizotolewa juzi zinasema jumuia ya Afrika mashariki ni jumuia bora kuliko zote Afrika pia ni ya pili dunian baada ya jumuia ya ulaya.
Sasa kwa hali hii mambo yatabadilika.
Tukemee ubaguzi,na kauli zote zinazo ashiria ubaguzi.
Jaguar sio mwanasiasa ni pia ni kiongozi mbaya hafai kuigwa.
 
Nilisema watanzania wanacheza reverse psychology kwa hii maneno ya Jaguar.

They are the biggest culprits, lakini wanataka next time wanadhulumu Wakenya huko Tanzania, waseme kwamba Watanzania wanadhulumiwa vivyo hivyo hapa Kenya.
Boss, sijui kwanini tunabebana kimaandazi hivi na hawa majirani zetu. Sikuunga mkono matamshi ya Jaguar kuhusu waganda na watanzania. Lakini iwe funzo kwao, kwamba tunahitajiana. Sio wanakenua kenua tu kila wakati viongozi wao wanapoendeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakenya. Walipopiga marufuku maziwa ya Brookside Tz walisema mengi sana humu. Hivyo hivyo vifaranga vilipotiwa moto na ng'ombe wa wafugaji kutoka Kenya walipopigwa mnada. Some of this 'so polite' guys celebrate when terrorists hit Kenya!
 
Boss, sijui kwanini tunabebana kimaandazi hivi na hawa majirani zetu. Sikuunga mkono matamshi ya Jaguar kuhusu waganda na watanzania. Lakini iwe funzo kwao, kwamba tunahitajiana. Sio wanakenua kenua tu kila wakati viongozi wao wanapoendeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakenya. Walipopiga marufuku maziwa ya Brookside Tz walisema mengi sana humu. Hivyo hivyo vifaranga vilipotiwa moto na ng'ombe wa wafugaji kutoka Kenya walipopigwa mnada. Some of this so polite guys celebrate when terrorists hit Kenya!

They are just simply cows
 
Nyinyi mna anzisha chuki amjui kuwa Dada zenu walishinda wanalia huku wakilala mika wa TZ wakiondoka nani atawapa haki yao ya 6 kwa 6 jana nimepata shida sana kumtuliza wangechi japo ana sura ya baba yake mpaka sasa amini kama bado nipo Nairobi
 
Boss, sijui kwanini tunabebana kimaandazi hivi na hawa majirani zetu. Sikuunga mkono matamshi ya Jaguar kuhusu waganda na watanzania. Lakini iwe funzo kwao, kwamba tunahitajiana. Sio wanakenua kenua tu kila wakati viongozi wao wanapoendeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakenya. Walipopiga marufuku maziwa ya Brookside Tz walisema mengi sana humu. Hivyo hivyo vifaranga vilipotiwa moto na ng'ombe wa wafugaji kutoka Kenya walipopigwa mnada. Some of this 'so polite' guys celebrate when terrorists hit Kenya!
brookside ni ya mwizi kenyatta..hiyo ipigwe marufuku kabisa
 
Nyuzi kama hizi za kueneza chuki dhidi ya wakenya wanaoishi na kufanya kazi Tz hazihesabiki humu Jf.
>>>https://www.jamiiforums.com/threads/hawa-wakenya-hawana-huruma-tuwakazie.1026274/

Tukio la matamshi ya kichonganishi kutoka kwa mkenya mmoja tu, mbunge wa eneo bunge la Starehe, Mheshimiwa Charles 'Jaguar' Njagua limedhihirisha wazi unafiki wa majirani zetu watanzania.

Tofauti na wakenya na viongozi wao ambao walimkashifu vikali Jaguar kwasababu ya tamko lake. Watanzania huwa wanaona sifa kueneza chuki dhidi ya wakenya.

Rejelea lile tukio la kishetani, la kutia moto vifaranga kutoka Kenya au ngombe wa wafugaji kutoka Kenya walipopigwa mnada. Watanzania walisifia sana hatua hiyo ya rais wao, na sikuwaona wakikemea vikali tukio hilo kama wakenya.

Kwa watz waliowakashifu na kuwakemea wakenya kwa sababu ya tamko la Jaguar, na bado ndio nyinyi tu ambao huwa mnachangia kwenye kueneza chuki dhidi ya wakenya jueni kwamba 'what goes around comes around'. Acheni unafik, badilikeni.
You are missing a point. Njagua kueleza matatizo ya wageni ni halali sana! Lakini kusema atawapiga, that is very very wrong and myopic.

Ukisema watanzania ni wanafiki, deductively una maana wakenya ni wakweli. Wakenya ni wakweli kwa maana kwamba unasema Njagua ni mukweli na wewe unamuunga mkono.

Ukiangalia debates ndani ya JF and anywhere else, these are just street conversations. usifanye copying ya matukio machache na ukasahau mengine. Unakumbuka gari za tours za Taznania kuzuiliwa kuingia JK airport? what was the reason?
 
Hivi si ninyi ndo huwa mnaongoza kuwachafuwa watanzania? Alafu mkiguswa kidogo tu mnaanza kuweweseka nyani msioona kundule
Na hawa ndo wale wanaitangaziaga dunia kwamba Mlima Kilimanjaro upo kwao, Mbwana Samatta anatoka Kwao...
 
Boss, sijui kwanini tunabebana kimaandazi hivi na hawa majirani zetu. Sikuunga mkono matamshi ya Jaguar kuhusu waganda na watanzania. Lakini iwe funzo kwao, kwamba tunahitajiana. Sio wanakenua kenua tu kila wakati viongozi wao wanapoendeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakenya. Walipopiga marufuku maziwa ya Brookside Tz walisema mengi sana humu. Hivyo hivyo vifaranga vilipotiwa moto na ng'ombe wa wafugaji kutoka Kenya walipopigwa mnada. Some of this 'so polite' guys celebrate when terrorists hit Kenya!
Terrorists to you are saints to others.

There is a line between, my friend!
 
Back
Top Bottom