Unafiki wa Ufaransa waonekana waziwazi, haijali demokrasia Afrika bali masilahi

Unafiki wa Ufaransa waonekana waziwazi, haijali demokrasia Afrika bali masilahi

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
Katika kudhihirisha unafiki wake nchi ya Ufaransa ilitumia neno "Rais" wakati wa kuripoti habari iliyomuhusu Rais wa Gabon aliyeingia madarakani baada ya mapinduzi ilihali nchi hiyo hutumia neno " Junta"pale taarifa inapowahusu marais wa nchi za Mali, Niger na Burkina Faso ambao pia waliingia madarakani kwa njia ya mapinduzi.

Chombo cha habari kinachoendeshwa kwa kodi za raia wa Ufaransa cha RFI kilitumia neno Rais pale kiliporipoti kuhusu safari ya Rais wa Gabon aliyoifanya kwenye makao makuu ya Umoja wa Ulaya ( EU) mjini Brussels nchini Ubelgiji. Katika safari hiyo,Rais wa Gabon alisaini mikataba yénye thamani ya mabilioni ya dollar.

Hii inaonyesha kwamba Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi hutumia neno " demokrasia" ili kueneza propaganda na kujihakikishia maslahi yao barani Afrika na si kwamba wanajali kuhusu demokrasia au utawala bora.

Endapo Rais atahakikisha usalama wa maslahi yao hawatapiga kelele za demokrasia bali Rais atakapokwenda kinyume na matakwa yao na kubana maslahi yao ndipo watamuita majina yote mabaya kuanzia dikteta n.k

Chanzo: RFI

- https://www.rfi.fr/fr/afrique/20241...les-signe-du-renforcement-des-liens-avec-l-ue[/URL]
 
Katika kudhihirisha unafiki wake nchi ya Ufaransa ilitumia neno "Rais" wakati wa kuripoti habari iliyomuhusu Rais wa Gabon aliyeingia madarakani baada ya mapinduzi ilihali nchi hiyo hutumia neno " Junta"pale taarifa inapowahusu marais wa nchi za Mali, Niger na Burkina Faso ambao pia waliingia madarakani kwa njia ya mapinduzi.

Chombo cha habari kinachoendeshwa kwa kodi za raia wa Ufaransa cha RFI kilitumia neno Rais pale kiliporipoti kuhusu safari ya Rais wa Gabon aliyoifanya kwenye makao makuu ya Umoja wa Ulaya ( EU) mjini Brussels nchini Ubelgiji. Katika safari hiyo,Rais wa Gabon alisaini mikataba yénye thamani ya mabilioni ya dollar.

Hii inaonyesha kwamba Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi hutumia neno " demokrasia" ili kueneza propaganda na kujihakikishia maslahi yao barani Afrika na si kwamba wanajali kuhusu demokrasia au utawala bora.

Endapo Rais atahakikisha usalama wa maslahi yao hawatapiga kelele za demokrasia bali Rais atakapokwenda kinyume na matakwa yao na kubana maslahi yao ndipo watamuita majina yote mabaya kuanzia dikteta n.k

Chanzo: RFI

- https://www.rfi.fr/fr/afrique/20241128-la-visite-du-président-gabonais-à-bruxelles-signe-du-renforcement-des-liens-avec-l-ue[/URL]
Demokrasiq Yako unataka ijengwe na nchi za magharibi , kabla hujawaita watu wa magharibi ni wanafki bas anaza kujiita wew mnafik na mpenda vya dezo
 
Yaani Ufaransa iache kukusanya maokoto, halafu ianze kuhangaika na watu wasiojielewa.
 
Hiyo
Yaani Ufaransa iache kukusanya maokoto, halafu ianze kuhangaika na watu wasiojielewa.
Ufaransa inayojielewa mbona mwaka jana ilitaka kuvamia Niger kwa kigezo cha kurudisha utawala wa kidemokrasia? Demokrasia ya Niger inawahusu?
 
Hiyo

Ufaransa inayojielewa mbona mwaka jana ilitaka kuvamia Niger kwa kigezo cha kurudisha utawala wa kidemokrasia? Demokrasia ya Niger inawahusu?

Huko ndo kujielewa. Vamia kusanya maokoto sepa zako kwenu
 
Katika kudhihirisha unafiki wake nchi ya Ufaransa ilitumia neno "Rais" wakati wa kuripoti habari iliyomuhusu Rais wa Gabon aliyeingia madarakani baada ya mapinduzi ilihali nchi hiyo hutumia neno " Junta"pale taarifa inapowahusu marais wa nchi za Mali, Niger na Burkina Faso ambao pia waliingia madarakani kwa njia ya mapinduzi.

Chombo cha habari kinachoendeshwa kwa kodi za raia wa Ufaransa cha RFI kilitumia neno Rais pale kiliporipoti kuhusu safari ya Rais wa Gabon aliyoifanya kwenye makao makuu ya Umoja wa Ulaya ( EU) mjini Brussels nchini Ubelgiji. Katika safari hiyo,Rais wa Gabon alisaini mikataba yénye thamani ya mabilioni ya dollar.

Hii inaonyesha kwamba Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi hutumia neno " demokrasia" ili kueneza propaganda na kujihakikishia maslahi yao barani Afrika na si kwamba wanajali kuhusu demokrasia au utawala bora.

Endapo Rais atahakikisha usalama wa maslahi yao hawatapiga kelele za demokrasia bali Rais atakapokwenda kinyume na matakwa yao na kubana maslahi yao ndipo watamuita majina yote mabaya kuanzia dikteta n.k

Chanzo: RFI

- https://www.rfi.fr/fr/afrique/20241128-la-visite-du-président-gabonais-à-bruxelles-signe-du-renforcement-des-liens-avec-l-ue[/URL]

Sio Ufaransa tu western wote, US na hata China, hakuna anaejali maslah ya Africa wote wapo kwa maslah ya mataifa yao.. sema ndio hivyo tu Africa tumekubali kwenda na msemo wa "Neccessary Evil"

Hata Urusi pia hapo afrika ya kati kupitia Wagner ametamalaki kiufupi Mrusi anachukua nafasi ya ufaransa kwenye nchi afrika ya kati na west

Sema mfumo wa siku hizi ni kutumia the so called private armies..
 
Katika kudhihirisha unafiki wake nchi ya Ufaransa ilitumia neno "Rais" wakati wa kuripoti habari iliyomuhusu Rais wa Gabon aliyeingia madarakani baada ya mapinduzi ilihali nchi hiyo hutumia neno " Junta"pale taarifa inapowahusu marais wa nchi za Mali, Niger na Burkina Faso ambao pia waliingia madarakani kwa njia ya mapinduzi.

Chombo cha habari kinachoendeshwa kwa kodi za raia wa Ufaransa cha RFI kilitumia neno Rais pale kiliporipoti kuhusu safari ya Rais wa Gabon aliyoifanya kwenye makao makuu ya Umoja wa Ulaya ( EU) mjini Brussels nchini Ubelgiji. Katika safari hiyo,Rais wa Gabon alisaini mikataba yénye thamani ya mabilioni ya dollar.

Hii inaonyesha kwamba Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi hutumia neno " demokrasia" ili kueneza propaganda na kujihakikishia maslahi yao barani Afrika na si kwamba wanajali kuhusu demokrasia au utawala bora.

Endapo Rais atahakikisha usalama wa maslahi yao hawatapiga kelele za demokrasia bali Rais atakapokwenda kinyume na matakwa yao na kubana maslahi yao ndipo watamuita majina yote mabaya kuanzia dikteta n.k

Chanzo: RFI

- https://www.rfi.fr/fr/afrique/20241128-la-visite-du-président-gabonais-à-bruxelles-signe-du-renforcement-des-liens-avec-l-ue[/URL]
Ukimwondoa France nchi za magharibi, uchumi wake unaweza ukawa kama wa nchi za dunia ya tatu, ndio maana west mapinduzi ya kijeshi hayato kuja kuisha.
 
Back
Top Bottom