CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Limkutano huko Arusha lilikuwa na mbwembwe kwelikweli aisee yaani nimekaaa hapa natengeneza apps fulani bando limeisha kabisa kushoto kulia hata buku 3 ya kupata gb 2 sina niweze kuchukua baadhi ya vitu online na kucheki tutorials
Ama kweli hili li nchi nuksi sana , walivyokuwa wanajiliza machozi ya mamba eti Tehama ikitumiwa vizuri itatoa ajira na kupaisha uchumi kumbe uchumi wa familia zao na matumbo yao , aisee wanatia hasira sana
Hayaaaaa bana ETI TEHAMA BONGO..TEHAMA MY FOOT
SERIOUSLY HATA BANDO LA USIKU MMETOA????? NA MAMKAMUPNI YOTE YANAFANANA VIFURUSHI ILI TUKOSE PA KUKIMBILIA??? MBONA LAKINI HAYA MAMTU YANA ROHO MBAYA HIVI???
Ama kweli hili li nchi nuksi sana , walivyokuwa wanajiliza machozi ya mamba eti Tehama ikitumiwa vizuri itatoa ajira na kupaisha uchumi kumbe uchumi wa familia zao na matumbo yao , aisee wanatia hasira sana
Hayaaaaa bana ETI TEHAMA BONGO..TEHAMA MY FOOT
SERIOUSLY HATA BANDO LA USIKU MMETOA????? NA MAMKAMUPNI YOTE YANAFANANA VIFURUSHI ILI TUKOSE PA KUKIMBILIA??? MBONA LAKINI HAYA MAMTU YANA ROHO MBAYA HIVI???