Unafiki wa walimwengu walewale waliomzodoa Spika Ndugai siku akifa watamwagia sifa kedekede

Unafiki wa walimwengu walewale waliomzodoa Spika Ndugai siku akifa watamwagia sifa kedekede

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hapa Duniani kuna Mambo Magumu sana kuyaelewa!

Miongoni mwa mambo magumu kuyaelewa ni unafiki wa binadam juu ya binadam mwenzake!

Watu wale wale wanaomzodoa Job Ndugai ni hao hao wa kwanza kushika MAIKI Kumpamba kwa sifa kedekede siku Akifa!

Utawasikia wakisema haya!

1. Inchi imepoteza kiongozi mhimu sana ambaye bado taifa lilimtegemea
2. Ndugai alikuwa spika wa mfano, alisimamia maslahi ya wananchi kwa weledi mkubwa
3. Alikuwa muungwana na mnyenyekevu hata pale alipotofautiana na wenzake
4. Alikuwa mwalimu bora sana kwa wanasiasa, baadhi yao watasema hata kawalea na kuwakuza kisiasa
5. Watasema ndugai alikuwa na moyo wa kizalendo sana
6. Watasema Ndugai hakupenda kuona mwanasiasa anaonewa ndani ya chama chake hata inje ya chama chake kiasi cha kuwakingia kifua wabunge wa covid 19

Mtu aliyetubu na kusema kakosa yeye, kakosa sana , kakosa mno! Ubaya wake uko wapi?

Kwani kusema inchi itauzwa kwa mikopo hoja yake inaubaya gani!? Kwanini asijibiwe hoja kwa hoja?

Wangapi mnakumbuka Sakata la kushikiliwa ndege kwasababu mikopo?

Wangapi mnakumbuka yule mkulima south afrika aliyeshikilia ndege kudai malipo yake?

Kama hayo yaliwezekana, Kwanini hoja ya spika isipewe kipaumbele sasa kuliko tunavyomzodoa?

Kukopa kupo sawa, lakini je pesa ya mkopo inatumikaje?

Nia ya wakopaji ni njema, tatizo Matumizi ndiyo huzalisha kizaazaa!

Ni sawa na mzazi ukope pesa dhamana nyumba halafu Ukaitapanye na kuhonga nyumba ndogo pamoja kulewa na chenji kidogo ndo udanganyie watoto wa nyumba kubwa kwamba unawekeza kwa maendeleo, Mtoto wako mkubwa akisema BABA TUSIPOKUWA MAKINI na mikopo nyumba yetu hii siku itauzwa!

Badala ya kudadavua matumizi yako ya pombe, wewe unapaniki na Kumtimua mtoto kwa kumpakazia kwamba Balehe inamsumbua anataka Awe baba wa nyumba!
Spika alishindwa tu kuweka wazi HOJA KUBWA NI KWAMBA PESA ZA MKOPO ZIMEGAWIWA KWENDA ZANZIBAR KWA KIWANGO KINGI KULIKO UTARATIBU UNAVYOTAKA ZANZIBAR IPEWE! hivyo pesa nyingi iliyokwenda Zanzibar mzigo ataubeba mtanganyika

Kosa la ndugai ni lipi kuhoji matumizi ya mkopo?
 
Hapa Duniani kuna Mambo Magumu sana kuyaelewa!

Miongoni mwa mambo magumu kuyaelewa ni unafiki wa binadam juu ya binadam mwenzake!

Watu wale wale wanaomzodoa Job Ndugai ni hao hao wa kwanza kushika MAIKI Kumpamba kwa sifa kedekede siku Akifa!

Utawasikia wakisema haya!

1. Inchi imepoteza kiongozi mhimu sana ambaye bado taifa lilimtegemea
2. Ndugai alikuwa spika wa mfano, alisimamia maslahi ya wananchi kwa weledi mkubwa
3. Alikuwa muungwana na mnyenyekevu hata pale alipotofautiana na wenzake
4. Alikuwa mwalimu bora sana kwa wanasiasa, baadhi yao watasema hata kawalea na kuwakuza kisiasa
5. Watasema ndugai alikuwa na moyo wa kizalendo sana
6. Watasema Ndugai hakupenda kuona mwanasiasa anaonewa ndani ya chama chake hata inje ya chama chake kiasi cha kuwakingia kifua wabunge wa covid 19

Mtu aliyetubu na kusema kakosa yeye, kakosa sana , kakosa mno! Ubaya wake uko wapi?

Kwani kusema inchi itauzwa kwa mikopo hoja yake inaubaya gani!? Kwanini asijibiwe hoja kwa hoja?

Wangapi mnakumbuka Sakata la kushikiliwa ndege kwasababu mikopo?

Wangapi mnakumbuka yule mkulima south afrika aliyeshikilia ndege kudai malipo yake?

Kama hayo yaliwezekana, Kwanini hoja ya spika isipewe kipaumbele sasa kuliko tunavyomzodoa?

Kukopa kupo sawa, lakini je pesa ya mkopo inatumikaje?

Nia ya wakopaji ni njema, tatizo Matumizi ndiyo huzalisha kizaazaa!

Ni sawa na mzazi ukope pesa dhamana nyumba halafu Ukaitapanye kwa kulewa na chenji kidogo ndo udanganyie watoto kwamba unawekeza kwa maendeleo, Mtoto wako mkubwa akisema BABA TUSIPOKUWA MAKINI na mikopo nyumba yetu hii siku itauzwa!

Badala ya kudadavua matumizi yako ya pombe, wewe unapaniki na Kumtimua mtoto kwa kumpakazia kwamba Balehe inamsumbua anataka Awe baba wa nyumba!

Kosa la ndugai ni lipi?
Fikra zako ni pevu. Wenye akili timamu pekee ndio wataelewa jambo muhimu na tafakarishi uliloandika. Wale mashabiki maandazi watakurushia mawe maana ukweli unauma
 
Fikra zako ni pevu. Wenye akili timamu pekee ndio wataelewa jambo muhimu na tafakarishi uliloandika. Wale mashabiki maandazi watakurushia mawe maana ukweli unauma
Ndo hivyo ndugai kakosea wapi
 
Sio akifa tu bali ikijitokeza sasa hivi akapata uraisi watu hao hao ndo watakuwa wa kwanza kumsifia. Hii nchi watunwake wanaendekeza unafiki ili kujipatia ulaji. Hii ni kutokana na raisi kuwa na mamalaka makubwa ya kuteua kila nafasi. Ifike mahala viongozi wa juu wa chama wapige marufuku wanachama wao hasa viongozi wa mikoani waache kutoa kauli zozote kwa viongozi maana kila wanachosema huwa ni unafiki mtupu.
 
Mkuu ebu tusaidie angalau moja ambalo huyu ndugu alilisimamia lenye meslahi kwa nchi. Kinyume chake, Ndugai amejifikisha alipofika yeye mwenyewe. Alishindwa kujua maana ya bunge na spika akaamua kuwa sehemu ya serikali. Kuna kipindi aligeuka polisi na hata mahakama kwa wananchi wa kawaida waliotoa maoni. Kuondoka kwake kuna faida zaidi na alichelewa sana kuondoka.
Hapa Duniani kuna Mambo Magumu sana kuyaelewa!

Miongoni mwa mambo magumu kuyaelewa ni unafiki wa binadam juu ya binadam mwenzake!

Watu wale wale wanaomzodoa Job Ndugai ni hao hao wa kwanza kushika MAIKI Kumpamba kwa sifa kedekede siku Akifa!

Utawasikia wakisema haya!

1. Inchi imepoteza kiongozi mhimu sana ambaye bado taifa lilimtegemea
2. Ndugai alikuwa spika wa mfano, alisimamia maslahi ya wananchi kwa weledi mkubwa
3. Alikuwa muungwana na mnyenyekevu hata pale alipotofautiana na wenzake
4. Alikuwa mwalimu bora sana kwa wanasiasa, baadhi yao watasema hata kawalea na kuwakuza kisiasa
5. Watasema ndugai alikuwa na moyo wa kizalendo sana
6. Watasema Ndugai hakupenda kuona mwanasiasa anaonewa ndani ya chama chake hata inje ya chama chake kiasi cha kuwakingia kifua wabunge wa covid 19

Mtu aliyetubu na kusema kakosa yeye, kakosa sana , kakosa mno! Ubaya wake uko wapi?

Kwani kusema inchi itauzwa kwa mikopo hoja yake inaubaya gani!? Kwanini asijibiwe hoja kwa hoja?

Wangapi mnakumbuka Sakata la kushikiliwa ndege kwasababu mikopo?

Wangapi mnakumbuka yule mkulima south afrika aliyeshikilia ndege kudai malipo yake?

Kama hayo yaliwezekana, Kwanini hoja ya spika isipewe kipaumbele sasa kuliko tunavyomzodoa?

Kukopa kupo sawa, lakini je pesa ya mkopo inatumikaje?

Nia ya wakopaji ni njema, tatizo Matumizi ndiyo huzalisha kizaazaa!

Ni sawa na mzazi ukope pesa dhamana nyumba halafu Ukaitapanye na kuhonga nyumba ndogo pamoja kulewa na chenji kidogo ndo udanganyie watoto wa nyumba kubwa kwamba unawekeza kwa maendeleo, Mtoto wako mkubwa akisema BABA TUSIPOKUWA MAKINI na mikopo nyumba yetu hii siku itauzwa!

Badala ya kudadavua matumizi yako ya pombe, wewe unapaniki na Kumtimua mtoto kwa kumpakazia kwamba Balehe inamsumbua anataka Awe baba wa nyumba!

Kosa la ndugai ni lipi?
 
Sio akifa tu bali ikijitokeza sasa hivi akapata uraisi watu hao hao ndo watakuwa wa kwanza kumsifia. Hii nchi watunwake wanaendekeza unafiki ili kujipatia ulaji. Hii ni kutokana na raisi kuwa na mamalaka makubwa ya kuteua kila nafasi. Ifike mahala viongozi wa juu wa chama wapige marufuku wanachama wao hasa viongozi wa mikoani waache kutoa kauli zozote kwa viongozi maana kila wanachosema huwa ni unafiki mtupu.
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Mkuu ebu tusaidie angalau moja ambalo huyu ndugu alilisimamia lenye meslahi kwa nchi. Kinyume chake, Ndugai amejifikisha alipofika yeye mwenyewe. Alishindwa kujua maana ya bunge na spika akaamua kuwa sehemu ya serikali. Kuna kipindi aligeuka polisi na hata mahakama kwa wananchi wa kawaida waliotoa maoni. Kuondoka kwake kuna faida zaidi na alichelewa sana kuondoka.
Hahah
 
iko siku nchi itamkumbuka kama alichoongea alimaanisha ila mama bwana siasa anaijua sana ame calculate vizuri kawaaidi watu uteuzi alafu kaliacha hivi wanafiki wacha wamshambulie ndugai wakitegemea majina yao yatakuwepo kwenye teuzi mpya yani imefikia kila mtu anamtukana ndugai alafu anaposti aonekane ha ha ha ha ha nchi ina watu wanafiki sana hii
 
iko siku nchi itamkumbuka kama alichoongea alimaanisha ila mama bwana siasa anaijua sana ame calculate vizuri kawaaidi watu uteuzi alafu kaliacha hivi wanafiki wacha wamshambulie ndugai wakitegemea majina yao yatakuwepo kwenye teuzi mpya yani imefikia kila mtu anamtukana ndugai alafu anaposti aonekane ha ha ha ha ha nchi ina watu wanafiki sana hii
Ila CHALAMILA NDIYO kanichekesha kuliko wote
 
kwani Nani amesema ndugai amefanya makosa.?
Kuna vitu NI KARMA TU.
uenda DAMU ya lisu inamlilia
 
Awamu ya tano iliharibu taratibu za utawala bora matokeo yake mpaka awamu hii midume mizima na korodani zao wanaendelea na utaratibu wa kuabudu na kumsujudia binadamu ili wapate uhakika wa ajira!
 
Awamu ya tano iliharibu taratibu za utawala bora matokeo yake mpaka awamu hii midume mizima na korodani zao wanaendelea na utaratibu wa kuabudu na kumsujudia binadamu ili wapate uhakika wa ajira!
Kila mtu anasema ili aonekane yupo
 
Walimwenguu!! Au makada wa ccm? Maana huko ndiko unafiki na uchawa ulipozaliwa.
 
Hapa Duniani kuna Mambo Magumu sana kuyaelewa!

Miongoni mwa mambo magumu kuyaelewa ni unafiki wa binadam juu ya binadam mwenzake!

Watu wale wale wanaomzodoa Job Ndugai ni hao hao wa kwanza kushika MAIKI Kumpamba kwa sifa kedekede siku Akifa!

Utawasikia wakisema haya!

1. Inchi imepoteza kiongozi mhimu sana ambaye bado taifa lilimtegemea
2. Ndugai alikuwa spika wa mfano, alisimamia maslahi ya wananchi kwa weledi mkubwa
3. Alikuwa muungwana na mnyenyekevu hata pale alipotofautiana na wenzake
4. Alikuwa mwalimu bora sana kwa wanasiasa, baadhi yao watasema hata kawalea na kuwakuza kisiasa
5. Watasema ndugai alikuwa na moyo wa kizalendo sana
6. Watasema Ndugai hakupenda kuona mwanasiasa anaonewa ndani ya chama chake hata inje ya chama chake kiasi cha kuwakingia kifua wabunge wa covid 19

Mtu aliyetubu na kusema kakosa yeye, kakosa sana , kakosa mno! Ubaya wake uko wapi?

Kwani kusema inchi itauzwa kwa mikopo hoja yake inaubaya gani!? Kwanini asijibiwe hoja kwa hoja?

Wangapi mnakumbuka Sakata la kushikiliwa ndege kwasababu mikopo?

Wangapi mnakumbuka yule mkulima south afrika aliyeshikilia ndege kudai malipo yake?

Kama hayo yaliwezekana, Kwanini hoja ya spika isipewe kipaumbele sasa kuliko tunavyomzodoa?

Kukopa kupo sawa, lakini je pesa ya mkopo inatumikaje?

Nia ya wakopaji ni njema, tatizo Matumizi ndiyo huzalisha kizaazaa!

Ni sawa na mzazi ukope pesa dhamana nyumba halafu Ukaitapanye na kuhonga nyumba ndogo pamoja kulewa na chenji kidogo ndo udanganyie watoto wa nyumba kubwa kwamba unawekeza kwa maendeleo, Mtoto wako mkubwa akisema BABA TUSIPOKUWA MAKINI na mikopo nyumba yetu hii siku itauzwa!

Badala ya kudadavua matumizi yako ya pombe, wewe unapaniki na Kumtimua mtoto kwa kumpakazia kwamba Balehe inamsumbua anataka Awe baba wa nyumba!
Spika alishindwa tu kuweka wazi HOJA KUBWA NI KWAMBA PESA ZA MKOPO ZIMEGAWIWA KWENDA ZANZIBAR KWA KIWANGO KINGI KULIKO UTARATIBU UNAVYOTAKA ZANZIBAR IPEWE! hivyo pesa nyingi iliyokwenda Zanzibar mzigo ataubeba mtanganyika

Kosa la ndugai ni lipi kuhoji matumizi ya mkopo?

IMG-20220106-WA0162.jpg
 
Back
Top Bottom