Unafiki wa wanasheria wa Tanzania

Unafiki wa wanasheria wa Tanzania

Na huyo Mwinyi wa Zanzibar si amemaliza 10 yake ya kikatiba?

Vipi Tena hiyo Mitano kuwa 15,?

Kweli CCM kimekuwa chama Cha mambumbuzikama yule mgeni aliyo kitamka
Mwinyi wa Zanzibar huu ni mhula wa kwanza wa miaka mitano- anastahili mitano tena
 
Ni sehemu gani ya Katiba ya CCM (au Kanuni za CCM za Uongozi na Maadili) inasema kwamba Rais aliyeko madarakani apitishwe kinyemela kugombea nafasi ya Rais kwa mara ya pili?

Umetoa mifano ya Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli. Ni nani kati ya hawa alipitishwa bila kujaza fomu baada ya dirisha la uchukuaji wa fomu za kugombea kufunguliwa kwa wanachama wote?
Ni sehemu gani ya Katiba ya CCM (au Kanuni za CCM za Uongozi na Maadili) inasema kwamba Rais aliyeko madarakani apitishwe kinyemela kugombea nafasi ya Rais kwa mara ya pili?
Mkuu kwenye katiba ya CCM hayo unayoyataka hayamo; kwenye kanuni hayamo; hayako kokote.
Mimi nimekuwekea ibara kujenga hoja yangu- wewe poyoyo unaleta hoja hapa bila rejeo na vifungu husika!?
 
Ujinga haufutwi kwa dakika moja, kufuta ujinga ni mchakato na sasa huenda umekwisha kuwa mwehu!
Ujinga ni kutojua baada ya kujua unakuwa si mjinga tena
 
Toka katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iweke ukomo wa mtu kukaa kwenye nafasi ya urais kwa miaka 10 kwa vipindi vya miaka 5, mgombea wa CCM aliye na stahiki ya kugombea mhula wa pili baada ya kumaliza mhula wa kwanza hashindanishwi na wenzake ndani ya chama chake. Ilikuwa hivyo toka kwa Ali Hassan Mwinyi mwaka 1990; kwa Benjamin William Mkapa mwaka 2000; Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2010; kwa John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2020, na kwa mantiki inapaswa kuwa hivyo kwa Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Hoja kwamba samia hajawahi kuchaguliwa

Mh. Samia Suluhu Hassan achaguliwa sambamba na John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2015 na 2020 akiwa mgombea mwenza kwa mujibu wa ibara 47 (2) inayosema:-

(2) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 37(5), Makamu wa Rais atapatikana kwa kuchaguliwa katika uchaguzi ule ule kwa pamoja na Rais, baada ya kupendekezwa na chama chake wakati ule ule anapopendekezwa mgombea kiti cha Rais na watapigiwa kura kwa pamoja. Mgombea kiti cha Rais akichaguliwa basi na Mahakmu wa Rais atakuwa amechaguliwa.

Kupatika kwa Samia Suluhu Hassan ni kwa mujibu wa ibara 47 (3) inaysema:

(3) Mtu atateuliwa kugombea kiti cha Makamu wa Rais kwa kufuata kanuni kwamba endapo Rais wa Jamhuri ya Muungano atatoka sehemu moja ya Muungano, basi Makamu wa Rais atakuwa ni mtu anayetoka sehemu ya pili ya Muungano.

Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


HOJA YA URAIS WA SAMIA

Mh. Samia Suluhu Hassan alikuwa rais kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano inayosema ilitokea nafasi ya rais kuwa wazi kwa sababu zilizobainishwa basi makamu wake wa rais ataapishwa kuwa rais.

SAMIA ANASTAHILI MHULA WA PILI AU URAIS WAKE UNAISHA 2025 PALE JPM ANGEKOMEA

Majibu ya maswali haya tunayapata kutoka ibara ya 37 (5) inayotaja sababu zinazoweza kuifanya nafsi ya urais kuwa wazi. Ibara ya 37 (5) ina sema:

(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote.

Mwaka 2021 Tanzania tulipoteza rais wetu John Pombe Joseph Magufuli na kwa mujibu wa Katiba Makamu wake aliapishwa kushika nafasi yake. Ibara ya 40 (4) inafafanua mstakabali wa na stahiki za Samia Suluhu Hassani na urais wake kwa kusema:-

(4) Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu.

Kwa mujibu wa ibara ya 40 (4) Samia Suluhu Hassani aliachiwa urais kukiwa bado na zaidi ya miaka 3 hivyo anastahili kugombea nafasi ya urais mara moja tena.
Nafikiri changamoto inayosumbua siyo uhalali wa rais Mama Samia kugombea bali taratibu za kisiasa zinazotumika.
Haki ya kikatiba na kisheria kugombea anayo.
 
(2) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 37(5), Makamu wa Rais atapatikana kwa kuchaguliwa katika uchaguzi ule ule kwa pamoja na Rais, baada ya kupendekezwa na chama chake wakati ule ule anapopendekezwa mgombea kiti cha Rais na watapigiwa kura kwa pamoja. Mgombea kiti cha Rais akichaguliwa basi na Mahakmu wa Rais atakuwa amechaguliwa.
Hii ni sawa na enzi zile ukienda dukani kununua sabuni taka usitake unaambatanishiwa na pini ya kutolea funza
 
Umbwa wewe huna mbele Wala nyumba mama katokea wapi hapa wewe umbwa?
Mama yako na wewe mmgekuwa kuku- yai lako lisingetotolewa

Hussein Ali Mwinyi (amezaliwa 23 Desemba 1966) ni tabibu na mwanasiasa nchini Tanzania aliyechaguliwa kuwa rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

Baada ya kipindi cha kazi ya tiba aliingia katika siasa kwa kuchaguliwa mbunge wa Mkuranga (Mkoa wa Pwani) mwaka 2000[1] akaendelea kugombea na kuchaguliwa bungeni katika jimbo la Kwahani (Zanzibar) tangu mwaka 2005.[2] Anatokea katika chama cha CCM. Mwaka 2000 akateuliwa kuwa waziri katika serikali ya Tanzania alipokuwa naibu waziri ya afya mwaka 2000-2005, halafu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais kwa mambo ya Muungano 2006 - 2008, Waziri wa Ulinzi mwaka 2008- 2012 na tena 2014 hadi 2020. Mwaka 2012 hadi 2014 alikuwa Waziri wa Afya.
 
Wewe sigara kali ndondocha
Hussein Ali Mwinyi (amezaliwa 23 Desemba 1966) ni tabibu na mwanasiasa nchini Tanzania aliyechaguliwa kuwa rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

Baada ya kipindi cha kazi ya tiba aliingia katika siasa kwa kuchaguliwa mbunge wa Mkuranga (Mkoa wa Pwani) mwaka 2000[1] akaendelea kugombea na kuchaguliwa bungeni katika jimbo la Kwahani (Zanzibar) tangu mwaka 2005.[2] Anatokea katika chama cha CCM. Mwaka 2000 akateuliwa kuwa waziri katika serikali ya Tanzania alipokuwa naibu waziri ya afya mwaka 2000-2005, halafu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais kwa mambo ya Muungano 2006 - 2008, Waziri wa Ulinzi mwaka 2008- 2012 na tena 2014 hadi 2020. Mwaka 2012 hadi 2014 alikuwa Waziri wa Afya.
 
Nafikiri changamoto inayosumbua siyo uhalali wa rais Mama Samia kugombea bali taratibu za kisiasa zinazotumika.
Haki ya kikatiba na kisheria kugombea anayo.
Mkuu watu wanamnyima stahiki zake hizo. Taratibu za kisiasa haziko kwenye katiba ya CCM, wala kanuni na wala siyo mawe. Aliyesema kuteua mgombea Januari ni kosa ni nani?
 
Ni sehemu gani ya Katiba ya CCM (au Kanuni za CCM za Uongozi na Maadili) inasema kwamba Rais aliyeko madarakani apitishwe kinyemela kugombea nafasi ya Rais kwa mara ya pili?
Mkuu kwenye katiba ya CCM hayo unayoyataka hayamo; kwenye kanuni hayamo; hayako kokote.
Mimi nimekuwekea ibara kujenga hoja yangu- wewe poyoyo unaleta hoja hapa bila rejeo na vifungu husika!?
Name calling ndiyo defense yako? That’s just indecency! Ibara ulizotuletea ni za Katiba ya Nchi. Hizo ibara zinatusaidiaje kupima nominations zilizofanyika majuzi kinyemela?
 
unahakika fomu haikujazwa? Hukusikia sekretariati inambiwa iende ikae? Unafikiri sekretariati huwa inachanganya zege? Mkuu ukisikia sekretariati inaenda kukaa linapokuwa ni jambo linahusu uchaguzi ujue inaenda kujadili fomu.
Dirisha la kuchukua fomu likifunguliwa inatangazwa publicly ili kila mwanachama aamue yeye mwenyewe kuchukua fomu au la!
 
kushinda au kushindwa ni majaliwa. Hivi yale maji ya kinyaturu kwani yalibaki kwenye ile chupa au yaliisha yote?
Alichaguliwa sambamba na Magufuli. Ila mnataka achaguliwe kwa miaka 15 jumla. Ofisi ya rais inaisha muhula wake mwaka huu 2025.

Kimsingi samia ilibidi apishe tu kwa sababu alishaingia kwenye awamu ya mwisho.


Endapo Magufuli angefariki awamu ya kwanza 2015-2016 hiki kinachofanyika sasa ndicho kingempa uhalali rais samia kugombea 2020 tena kwa utaratibu wa ccm bila kupingwa.
 
Toka katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iweke ukomo wa mtu kukaa kwenye nafasi ya urais kwa miaka 10 kwa vipindi vya miaka 5, mgombea wa CCM aliye na stahiki ya kugombea mhula wa pili baada ya kumaliza mhula wa kwanza hashindanishwi na wenzake ndani ya chama chake. Ilikuwa hivyo toka kwa Ali Hassan Mwinyi mwaka 1990; kwa Benjamin William Mkapa mwaka 2000; Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2010; kwa John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2020, na kwa mantiki inapaswa kuwa hivyo kwa Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Hoja kwamba samia hajawahi kuchaguliwa

Mh. Samia Suluhu Hassan achaguliwa sambamba na John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2015 na 2020 akiwa mgombea mwenza kwa mujibu wa ibara 47 (2) inayosema:-

(2) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 37(5), Makamu wa Rais atapatikana kwa kuchaguliwa katika uchaguzi ule ule kwa pamoja na Rais, baada ya kupendekezwa na chama chake wakati ule ule anapopendekezwa mgombea kiti cha Rais na watapigiwa kura kwa pamoja. Mgombea kiti cha Rais akichaguliwa basi na Mahakmu wa Rais atakuwa amechaguliwa.

Kupatika kwa Samia Suluhu Hassan ni kwa mujibu wa ibara 47 (3) inaysema:

(3) Mtu atateuliwa kugombea kiti cha Makamu wa Rais kwa kufuata kanuni kwamba endapo Rais wa Jamhuri ya Muungano atatoka sehemu moja ya Muungano, basi Makamu wa Rais atakuwa ni mtu anayetoka sehemu ya pili ya Muungano.

Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


HOJA YA URAIS WA SAMIA

Mh. Samia Suluhu Hassan alikuwa rais kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano inayosema ilitokea nafasi ya rais kuwa wazi kwa sababu zilizobainishwa basi makamu wake wa rais ataapishwa kuwa rais.

SAMIA ANASTAHILI MHULA WA PILI AU URAIS WAKE UNAISHA 2025 PALE JPM ANGEKOMEA

Majibu ya maswali haya tunayapata kutoka ibara ya 37 (5) inayotaja sababu zinazoweza kuifanya nafsi ya urais kuwa wazi. Ibara ya 37 (5) ina sema:

(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote.

Mwaka 2021 Tanzania tulipoteza rais wetu John Pombe Joseph Magufuli na kwa mujibu wa Katiba Makamu wake aliapishwa kushika nafasi yake. Ibara ya 40 (4) inafafanua mstakabali wa na stahiki za Samia Suluhu Hassani na urais wake kwa kusema:-

(4) Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu.

Kwa mujibu wa ibara ya 40 (4) Samia Suluhu Hassani aliachiwa urais kukiwa bado na zaidi ya miaka 3 hivyo anastahili kugombea nafasi ya urais mara moja tena.
Kachaguliwa ili awe Makamu, Kwa hiyo kama anataka na sasa atakuwa amemaliza muhula wa pili wa umakamu. Ili kwenda ngazi ya juu, chujio lina muhusu
 
unahakika fomu haikujazwa? Hukusikia sekretariati inambiwa iende ikae? Unafikiri sekretariati huwa inachanganya zege? Mkuu ukisikia sekretariati inaenda kukaa linapokuwa ni jambo linahusu uchaguzi ujue inaenda kujadili fomu.
Na hizo ng'ombe za chuo kikuu zinazochangia hela Kwa ajili ya fomu au ni fomu ya Kuomba kazi?
 
Back
Top Bottom