Issue yangu ni moja tu, elimu elimu elimu.So you wanted me to discuss animals. Hili jukwa la ma celeb. Am free to air out what is on my mind. Usiforce tufanane.
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahaha ahaaa ahaa tisa tu!!!!!Hawez kunusa maana ata hela ya kununua tuzo hizo atakua hana... sana sana atageukia karanga ambazo watu wakshajua kwenye kile kipakti kuna karanga tisa (9) hawatanunua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakiona. Sio lazima ukione weweIssue yangu ni moja tu, elimu elimu elimu.
Hakionekani kabisa hicho unachojivunia.
Hahahahha tayari umenitekenya na nimesha Cheka. Ila hoja yangu Diamond angesoma angekua mbali sana kuliko mimi
Ali Ana level gani ya elimu?unaweza ukampita b gates kwa alimu na ukawa masikini alimu na akili ni vitu viwili tofauti sawa?Yani nashukur mzazi wangu kunipa elimu. Kinachomtesa Mondi ni lack of Education. That's why Alikiba knows that 'the best revenge is not to be like your enemy' sasa yy Dai anataka wafanane. Which is wrong, pia anapenda competition
Elimu elimu elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alimu ndo nini.Ali Ana level gani ya elimu?unaweza ukampita b gates kwa alimu na ukawa masikini alimu na akili ni vitu viwili tofauti sawa?
Pengine angesoma asingefikia alipo.Hahahahha tayari umenitekenya na nimesha Cheka. Ila hoja yangu Diamond angesoma angekua mbali sana kuliko mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
That's an exemptionPengine angesoma asingefikia alipo.
Naomba nikutekenye tena[emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio alimu ?ni elimu ,elimu ni kitu cha pili akili ni cha kwanza ambacho binadamu huzaliwa nacho elimu ni maarifa unayoongezewa mwanadamu ili uwe na uelewa zaidi wa mambo.
Hapo naona tunaelekea kwelewana. Akili anayo lakini elimu hana. Angekua nayo huwenda tungekua sawaSio alimu ?ni elimu ,elimu ni kitu cha pili akili ni cha kwanza ambacho binadamu huzaliwa nacho elimu ni maarifa unayoongezewa mwanadamu ili uwe na uelewa zaidi wa mambo.
Mimi pia nina elimu lakini haijanipa mafanikio kama diamond.Am very much proud to be educated. Isingekua elimu ningekua kama Mondi. Najivunia mara dufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda na sio huwenda?labda angekua na elimu asingefika hapo.wengi wenye akili nyingi ndo wamefika mbali kimaisha na wengi wenye elimu kubwa wamekua wakifanya kazi kwa wenye akili kubwa ktk maisha.tafakari!!Hapo naona tunaelekea kwelewana. Akili anayo lakini elimu hana. Angekua nayo huwenda tungekua sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
But still elimu zinabaki kua thahabuHuenda na sio huwenda?labda angekua na elimu asingefika hapo.wengi wenye akili nyingi ndo wamefika mbali kimaisha na wengi wenye elimu kubwa wamekua wakifanya kazi kwa wenye akili kubwa ktk maisha.tafakari!!
Anachukiwa kwa sababu anamchukia Ali kiba kipenzi cha watu bila sababuNi kweli, wengi wanamchukia kutokana na mafanikio yake!
Anaenda na wakati na anajua nini afanye kwa wakati gani.. Anajua ni aina gani ya wimbo anatoa kwaajili ya watanzania na upi anatoa ili uvuke mipaka!
Amejidhalilisha sana diamond mie nilikuwa sina timu nawapenda wote, kanichafua kaanza kumchokoza mwenzie kamjibu kaona hata muweza peke yake kaita na vijana wake wote mbaya zaidi kaiba wimbo wa matonya bila ruhusa yake kaufanyia manjonjo tu. Lengo la kutumia vijana wake ni kwamba atakapoiweka YouTube ipate viewers wengi kutoka kwa kila shabiki wa hao vijana 7 amshinde kiba. Dogo anaweweseka mwaka huu katoa nyimbo nyingi zimebuma kwa washabiki wake sasa kaona atumie bifu nae atachemka sababu ndio kampa kiki kiba.
Sent using Jamii Forums mobile app