emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
Mmmh aisee mi nadhan idea zote tu wanaiga za zamani maan kila kitu kilifanywa na wazaman...Na idea yote imetokana na wimbo wa matonya, ubunifu zero kabisa.
To accomplish much you must first lose everything..
Ubaya wa bidhaa hulazimishwi kununua, maaan ww ambae huwez nunua lakin watu wanananunua kibao tu,...kwaio hayo ni mawazo yakoZile karanga ovyo kabisa. Karanga punnje 9 kwa Tsh 100... Bora ninunue robo kilo kwa Tsh 800 nakula wiki nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah labda yy alitaka iwe hivo kama kwayaa...kwani injili sio muzikiHiyo ZILIPENDWA ipo kama kwaya kwaya hv ya injili
Sikiliza ile ya Rose muhando kiatu na hii
Na lile kundi lao la wcb ambalo kirefu chake kinachefua wanadhan wanamkoma mpinzani wao kumbe wanaji overdoseUmeona eeeh yaani wale ni vilaza na watakwenda angukia pua kama yamoto band na tip top. On top of that babu talle na Sallam wanahitaji elimu, maana wanatumia ujanja ujanja tu kumanage.
kwa dar es salaam et? labda kanunua kk huko rungwe tukuyu unadhai bei itakuwa hiyo hiyo?Mbona bei ni 300 au umekaririshwa kukashfu tu bila research?
jivunie nahrat elimu ndo kila kitu mama na naamini unakula kutokana na hiyo na kama hujaanza kula ipo siku utakula tu kwa elimu yako achana na huyu kenge maji anaetaka jifanya elimu si kitu puuuumbav.Am very much proud to be educated. Isingekua elimu ningekua kama Mondi. Najivunia mara dufu
Sent using Jamii Forums mobile app
siyo kuwakiRisha ni kutuwakilishaMi naombea Diamond aendelea kuwepo kwene muziki wa bongo kwa sasa akipotea basi itachukua mdaa sana kupata mtu wakutuwakirisha tena maan muzik wa bongo umekuwa famous nje kwa bidii kubwa ya domo,...na yy kiukwel ndie anaeleta chachu kwene muziki....akibaki kiba peke ake muziki umekufa ila anaweza ondoka kiba akabaki domo muziki ukazidi kusongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu ni ugonjwa kama UTI,MALARIA tafuta dawa upone diamond sio wa mchezoUnafikiri hii staili ya vigodoro inaweza kumpaisha kimataifa na kupata tuzo tena?
Asante bora hata umeona. Huyu atakua dropout. Nashukur nimeaza kina matunda ya elimu yangu.jivunie nahrat elimu ndo kila kitu mama na naamini unakula kutokana na hiyo na kama hujaanza kula ipo siku utakula tu kwa elimu yako achana na huyu kenge maji anaetaka jifanya elimu si kitu puuuumbav.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji106]Asante bora hata umeona. Huyu atakua dropout. Nashukur nimeaza kina matunda ya elimu yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa dar es salaam et? labda kanunua kk huko rungwe tukuyu unadhai bei itakuwa hiyo hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa dar es salaam et? labda kanunua kk huko rungwe tukuyu unadhai bei itakuwa hiyo hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaMkuu.. Kuna nguvu inanisukima nije PM kwako. Naomba nipokee
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Aisee kumbe ipo kama kwaya[emoji15] [emoji15] [emoji15] ndo wanalinganisha na seduce me?? DuuhHiyo ZILIPENDWA ipo kama kwaya kwaya hv ya injili
Sikiliza ile ya Rose muhando kiatu na hii