Unafikiri Diamond akiendelea na aina hii ya Muziki atanusa tena tuzo za Kimataifa?

Hujajibu swali la mtoa mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawazo ya kijiweni baada ya kulewa chibuku ya bure Hahaa mtatabiri sanaaaa simba ni simba kamwe hawi nyau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…