Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasijue mtu akishakalia kiti pale hakuna ambacho kinaweza mshinda labda awe muoga tu. Yan remote iendeshe tv wakat TV ina batan zake pale basic za kujiendesha hata bila remote au kubatilisha maamuzi ya remoteCould be. wanaamini kuwa godfather wao Kikwete ni more powerful kuliko rais aliyekuwa madarakani; hivyo wanaweza kufanya na kusema lolote.
Kwa makamba kuna cha zaidi. Kama kauli yake ndio shida basi angeondoka mwenyewe peke yake kama ambavyo kaondoka Nape, FA kabaki lakini wameondoka wote yani waziri na manaibu. Steven huwa hana makuu lakini naye kaondoka nahisi pale wizara ya nje kuna jambo si kauli tu ya January.Wakuu,
Usiku umekuwa mchungu kwa Nape na Januari Makamba, tena Nape katenguliwa akiwa akiwa kwenye warsha! Pale unaenda sehemu kama waziri unaondoka mbunge!
Makamba naye alitoa boko lake, huenda hiki ndio kimemuondoa: Kauli ya January Makamba ''hata kama hatumkubali Samia ni wetu'', ina maana gani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi
Wewe unafikiri nini kimewaondoa wawili hawa kwenye nafasi ya Uwaziri? Kwa nape ni kauli yake ya 'utani' kuhusu ushindi wa Box? Na kwa Makamba je? Byabato naye kaliwa kichwa, itakuwa Nape kamponza!
Au Mama alisoma pendekezo la Erythrocyte - Pendekezo: Nape Nnauye avuliwe Uwaziri haraka kwa kauli hii aliyoitoa jimbo la Bukoba Mjini
Pia soma: Nape Nnauye: Nawapa pole na naomba radhi kwa kauli yangu ya ushindi nje ya boksi
Nyie mnaonaje wakuu?
Mdomo
Na huyo Mzanzibari ndiye aliyemchoma January kwa Samia.kuna kitu kibaya kimefanywa na makamba,na manaibu wake,maana naibu wake mmoja jana alijiuzulu ubunge