Kibaya tu ni namna hawa jamaa walivyowaponza wale wakuu wa Taasisi tatu - TTCL, Posta na USCAF. Hawa nao walikuwa viherehere sana - yaani walikuwa wanadhamini tu safari za hawa wakubwa bila kujua kuwa fedha hizo jamaa walishapanga kutengenezea network yao. Byabyato pamoja naye kubyabyatuliwa ndiyo alikuwa chanzo kwani juhudi kuuuuuubwaaa zilikuwa zinafanyika kumcovert kwenye mtandao wa Nape na Janu. Hawa jamaa ati walikuwa wanaiga mbinu za JK na Lowasa - bila kujua kuwa teknolojia itawadefeat. Yaani waandishi hao hao wamewapandisha na kuwashusha shwaaaaaaaaaaaaaaa!
Angalia gemu lao - walijisahau hadi kuacha kutamka kuchukua mahela ya Maharage, Ulanga na Mshiba na kutaka na za makampuni ili ati wakamjengee Byababato soko. Hawa wana bwanaaaaa! Mama akaliona gemu zima, akaanza na KUMNAPUA mhusika halafu akaMJANUA mhusika mwingine. Hao ati huitwa watoto wa wafalme (Tundu Lisu alisema). Mama pamoja na apizo langu la hivi karibuni kutokukupa kura, leo ninakuhakikishia kura hiyo ushaipata tena - kwa mwendo huu unaoenda nao. Hawa majamaa wa-jinga sana sana - yaani wana matambo ya hovyoooooo kabisa! Wakati fulani JANU aliongea mbele yako ati sababu kumi za kwa nini wewe uendelee kuwa Rais mwaka 2025 - yaani kwa maneno yale tu mie alinikera na kumfanya nihisi kumbe alishajishtukia kwa kushtukiwa kwake kutaka URais mwaka 2025. Yalikuwa ni maneno ya kukupigia debe na kukukejeli pia kana kwamba ati yeye anawaambia watu kuhusu sababu za wewe kuendelea na nafasi hiyo mwakani. Hivi wazo la wewe kutoendelea lilitoka wapi? Au makali-oni mwake yule bwana. Lakini mbona hata hayo makalio hana?
Hawa watu wabaya sana ndiyo maana walianza kujitengenezea network yao kabambe huku tayari wakishawahadaa akina Peter Ulanga kuanza kudhamini safari zao huku Shirika la TTCL likiwa ilmedorara kwishney kabisa!