Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mpira ni sayansi, kwa maana ya hesabu, fizikia na baiolojia, mambo ya nyota ni ya kufikirika tu. Sayansi inakataa kumrudisha Mkude katika kung'ara uwanjani bila kujali atacheza pacha na naniKiungo mwenye eneo lake ndani ya dimba atua Jangwani na kukabidhiwa Jezi namba 20 ile ile aliyoizoea. Usajili huu utakuwa na faida kubwa sana pale Jangwani kwa sababu huyu kiungo ana nyota yake, lakini swali kubwa AKICHEZA NA PACHA ZIPI ATATISHA ZAIDI?.
Ukiongezea Chemistry hapo sayansi itamkubari tuSayansi inakataa kumrudisha Mkude katika kung'ara uwanjani bila kujali atacheza pacha na nani
Sio suala la kuongeza, ni nature. Au unadhani nimeyataja hayo maarifa kwa kuangalia masomo? Narudia tena, uchezaji wa mpira ni sayansi kwa maana ya hesabu, fizikia na baiolojia, kila kimoja hapo kina mchanganuo wakeUkiongezea Chemistry hapo sayansi itamkubari tu
✍️
Na chemistry unafikiri zile assist zinatolewa bure bure tu ? Au hujui chemistry ni nini unafikiri ni somo ? 😆uchezaji wa mpira ni sayansi kwa maana ya hesabu, fizikia na baiolojia,
Sasa unaniuliza mimi kuhusu Chemistry wakati ndio nyumbani kwake? Chemistry haina mchango wowote katika uchezaji wa mpira, achana na misemo ya wachambuzi. Labda nikuwekee zaidi pengine utaelewa. Mwili wa binadamu katika uchezaji mpira kwa kiasi kikubwa unaobey law za motion za Newton, ndio maana nikakwambia ni physics (principles za motion), mathematics (scientific communication) na biology (viungo/maumbile na jinsi yanavyotakiwa, yalivyo sasa na yalivyochoka kwa umri). Katika uchezaji wa mpira, Chemistry ni kama History tuNa chemistry unafikiri zile assist zinatolewa bure bure tu ? Au hujui chemistry ni nini unafikiri ni somo ? 😆
✍️
Basi sawa ni Geography sio historySasa unaniuliza mimi kuhusu Chemistry wakati ndio nyumbani kwake? Chemistry haina mchango wowote katika uchezaji wa mpira, achana na misemo ya wachambuzi. Labda nikuwekee zaidi pengine utaelewa. Mwili wa binadamu katika uchezaji mpira kwa kiasi kikubwa unaobey law za motion za Newton, ndio maana nikakwambia ni physics (principles), mathematics (language of science) na biology (viungo/maumbile na jinsi yanavyotakiwa, yalivyo sasa na yalivyochoka kwa umri). Katika uchezaji wa mpira, Chemistry ni kama History tu
Zungumzia maarifa, achana na majina ya masomo. Inawezekana tunaongea katika layer tofauti hapa, ndio maana hatuelewaniBasi sawa ni Geography sio history
✍️
Hapa umepuyanga. Hongera Mkuu.Sasa unaniuliza mimi kuhusu Chemistry wakati ndio nyumbani kwake? Chemistry haina mchango wowote katika uchezaji wa mpira, achana na misemo ya wachambuzi. Labda nikuwekee zaidi pengine utaelewa. Mwili wa binadamu katika uchezaji mpira kwa kiasi kikubwa unaobey law za motion za Newton, ndio maana nikakwambia ni physics (principles za motion), mathematics (scientific communication) na biology (viungo/maumbile na jinsi yanavyotakiwa, yalivyo sasa na yalivyochoka kwa umri). Katika uchezaji wa mpira, Chemistry ni kama History tu