Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kiungo mwenye eneo lake ndani ya dimba atua Jangwani na kukabidhiwa Jezi namba 20 ile ile aliyoizoea. Usajili huu utakuwa na faida kubwa sana pale Jangwani kwa sababu huyu kiungo ana nyota yake, lakini swali kubwa AKICHEZA NA PACHA ZIPI ATATISHA ZAIDI?.