Natamani kumjua huyu mpiga kinanda maana na mimi mpiga tarumbeta mzuri kweli, we may matchmpiga kinanda ndo kabisa tena nilimshtukia juzi juzi ...uchina wake balaaa karibu na orijino
afu mbona kapotea sana au ile shughuli ya kusimika ma-vica genero hahaaaa
Wewe mseminarist? duh! ntaanza kukuogopa.Ngoja watakuibukia sasa hivi!!
mpiga kinanda upooo!! eti we wakichina
Naomba ukirudi online unijibu hapa unamaanisha nini. Sijakuelewa na sintokuelewa kama hutojibuOLE WAO WAZINZI, WAONGO, WAZUSHI, WADHULUMAJI, NAAM WAASHERATI, WATUKANAJI NA WAFIRAJI HAWATAURITHI UFALME WA MBINGUNI ya anyisile abheli
kwahiyo leo uko fulu mwana? twende kazi bht wangu, nisipokuona wewe mwili unazizima, really am telling you mwaya
Natamani kumjua huyu mpiga kinanda maana na mimi mpiga tarumbeta mzuri kweli, we may match
Wewe mseminarist? duh! ntaanza kukuogopa.
Ni wewe ICU?sasa wagonjwa mahututi itakuwaje na matarumbeta? si ndio watazidiwa zaidi? Mie nilidhani unajua sana kuchoma sindano.Natamani kumjua huyu mpiga kinanda maana na mimi mpiga tarumbeta mzuri kweli, we may match
Hukuniambia dia.si unajua wewe ndio center for information?ina maana ni kweli we hukujuaga huyu ni mseminaristi pyuwa??/pure
hahahahhahahah umenichekesha sana my dear Charity, wagonjwa mahututi wanahitaji furaha zaidi Ndugu yangu. LOL!!Ni wewe ICU?sasa wagonjwa mahututi itakuwaje na matarumbeta? si ndio watazidiwa zaidi? Mie nilidhani unajua sana kuchoma sindano.
jf jazz bandakiingia tu nakwambia .....vuta subira am sure he will be here
yeye kinanda
wewe tarumbeta
bigirita mashairi
mmh!!!
halafu yeye ndo alikuwa anatandika yale makapeti mekundu pale msimbazi cemtrempiga kinanda ndo kabisa tena nilimshtukia juzi juzi ...uchina wake balaaa karibu na orijino
afu mbona kapotea sana au ile shughuli ya kusimika ma-vica genero hahaaaa
Hukuniambia dia.si unajua wewe ndio center for information?
Ila nasikia waseminarist wanakuwaga na laana ya upadri.
jf jazz band
hahaaa ebwana eeeh!! B wa ukweli kume alikuwa na kzi kweli kweli, sasa yeye kaangukia upande upi wa mogoro road?halafu yeye ndo alikuwa anatandika yale makapeti mekundu pale msimbazi cemtre
hahahaa~
mhhhh!?? Hospitali ya wapi hiyo? wagonjwa waliopo ICU wnapopigiwa matarumbeta!!!! Labda psychiatric ward.hahahahhahahah umenichekesha sana my dear Charity, wagonjwa mahututi wanahitaji furaha zaidi Ndugu yangu. LOL!!
Edit hii fasta....nikirudi nisiikute kabisa.Hukuniambia dia.si unajua wewe ndio center for information?
Ila nasikia waseminarist wanakuwaga na laana ya upadri.
Nikiiweka wazi hspitali ninayofanyia kazi nitakuwa nimekiuka taratibu za JF na nitastahili ban, ni kweli hiki kipaji cha kutibu kwa tarumbeta ni cha kipekeemhhhh!?? Hospitali ya wapi hiyo? wagonjwa waliopo ICU wnapopigiwa matarumbeta!!!! Labda psychiatric ward.
Lakini pengine Mungu kakutunuku vipaji lukuki,hatuwezi jua bwana.
Hahahahahahaa,no komenti hapo.wadumisha mila!wakiachaga kweli huwa wanakuwa kama hawa wa kwetu......
mimi ndo meneja wao
Kwenye umeneja naafiki.........lakini kwenye pensili hapo naomba maelezo.wakiachaga kweli huwa wanakuwa kama hawa wa kwetu......
mimi ndo meneja wao
hahahaah kumbe na wewe uliachia Upadre katika hatua za mwisho eeh? Kama Dr. Slaa vile au Padre Karugendo au Askofu Milingo wa Zambia. Hahahaha Waseminaristi banaEdit hii fasta....nikirudi nisiikute kabisa.
My dear Charity, Upromota haukufai kabisa, utaikosea imani yako mpendwa, manake wale kwa kulalia wasanii wanatishaHahahahahahaa,no komenti hapo.wadumisha mila!
na mimi nitakuwa PROMOTA wa hiyo bendi,nabuku nafasi kabisa.
memmkwaza shemasi Riziki John NdefungoHahahahahahaa,no komenti hapo.wadumisha mila!
na mimi nitakuwa PROMOTA wa hiyo bendi,nabuku nafasi kabisa.
Edit hii fasta....nikirudi nisiikute kabisa.
Hahahahahahaa,no komenti hapo.wadumisha mila!
na mimi nitakuwa PROMOTA wa hiyo bendi,nabuku nafasi kabisa.
Kwenye umeneja naafiki.........lakini kwenye pensili hapo naomba maelezo.
hahahaah kumbe na wewe uliachia Upadre katika hatua za mwisho eeh? Kama Dr. Slaa vile au Padre Karugendo au Askofu Milingo wa Zambia. Hahahaha Waseminaristi bana