Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miss strong yani acheni tu.. mwenyewe anajua.
Daa umeniwahi kudadake!!! Mtoa maada mtu akiwahiwa naruhusiwa kumtaja tena??
Mkuu,fanya tu maisha kama gwaride: Nyuma geuka! Wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza.Usikate tamaa, mtaje tu!
RemoteDaa umeniwahi kudadake!!! Mtoa maada mtu akiwahiwa naruhusiwa kumtaja tena??
Nawapenda wote, sababu me ni mpya hapa, bado sija wa kremisha vzr
miss strong: ni kweli,maisha gwaride tu.Who knows?Anadhani yeye wa mwisho kumbe anaweza kuwa wa kwanza!hahaUmenichekesha mkuu Descartes eti maisha kama gwaride.Barikiwa
miss strong: ni kweli,maisha gwaride tu.Who knows?Anadhani yeye wa mwisho kumbe anaweza kuwa wa kwanza!haha
miss strong: pamoja sana..hypothesis-hence justified, right?haOfcoz wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho anaweza kuwa wa kwanza.Barikiwa
Ndo nimejua sasa hivi....................asante Remote kwa kunipenda.Barikiwa
Kaizer figganigga mpo jamani nimewamiss
Nipo miss strong. Hebu nidip fasta......nimekumiss
ahsante kwa kunitaja ila ngoja kwanza nijiridhishe kwa kupita page by page kuona kam hujamtaja she mwingine humu