Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Nawapenda wengi ila kwa kila mtu na aina ya uandishi wake.
 
Daa umeniwahi kudadake!!! Mtoa maada mtu akiwahiwa naruhusiwa kumtaja tena??

Mkuu,fanya tu maisha kama gwaride: Nyuma geuka! Wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza.Usikate tamaa, mtaje tu!
 
Nawapenda wote, sababu me ni mpya hapa, bado sija wa kremisha vzr
 
DEMBA hebu do ze nidiful, huenda ni wewe umenitaja nisipate kazi ya kupekua page zote?:help::help:
mi sijataja mtu bado nataka nitajwe kwanza. si unajua sie wanawake hadi tupendwe kwanza ndo tupende( social constucted theory hiyo )
 
mi sijataja mtu bado nataka nitajwe kwanza. si unajua sie wanawake hadi tupendwe kwanza ndo tupende( social constucted theory hiyo )
DEMBA. ndo nshakutaja ivo sasa usije ukaniambia hiyo pia ni socially constructed:tongue:
 
Last edited by a moderator:
me namlove gfsonwin balaa, namaanisha huyu mama hana unafiki kwenye kuchangia mada!
 
DEMBA. ndo nshakutaja ivo sasa usije ukaniambia hiyo pia ni socially constructed:tongue:

ahsante kwa kunitaja ila ngoja kwanza nijiridhishe kwa kupita page by page kuona kam hujamtaja she mwingine humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…