mmmmhhhh??
Ukipenda boga penda na ua lake atii...
Huyo alikumbwa na mafuriko, karudishwa kwao Sitimbi, mjini atapawezea wapi?
Kazoea kula miguu ya kuku na vichwa wakati mie na Rejao tushazoea chicken breasts
sa kama mtu maua halagi je?
Mkuu Bishanga umeniita....?cc Cantalisia na Mtambuzi........konnie utakoma leo
Mkuu, unakumbuka hii comment yako, anything to add or remove