Unahisi kumpenda nani hapa JF?

kupendana pendana vipi ? maana isijekuwa mambo ya kimombasa tena, maana huwezi kujua jinsia ya mtu kupitia AVATOR
 
mi nampenda naniliu ........ ila sasa..............
Enewei........
 
Munkari jamani!!Samahani lakini kama nitakuwa nimemkwaza mtu yeyote kwa kumtaja Munkari
 
Hahaha wala usitie shaka mkuu, mimi wa ubani wangu tayari yupo anaitwa measkron najua muda si mrefu atatia timu hapa

ndo umentosa hivihivi najiona! Loh! kamba ipo wapi nijikomitswisaid!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…