DEMBA my dear...huyo nishamjua nia yake, hajui kwamba maji hayazuiwi njia, hata siku moja...ukiyazuia yanapasua njia yenyewemkuu makoyo wahenga wanasema utu uzima dawa na hawa watu wazima ndo wanajua mahaba. vijana hawajui ku care
watembea na sumu ndio akina nani Mkuu? hahahaha
Mkuu hao jamaa dawa ni kuwakalia mbali wanajijua sana usione wana rangi za chungwa ni balaa tupu!
makoyo
Usiache watu wakang'oana kucha humu..
Hivi nikiweka wazi kwamba na-mmaind Mamndenyi, mtu wako ataniacha kweli?kung'olewa kucha ni kujiendekeza tu
Lara wangu jamani...
na wewe unataka kuifahamu rangi ya tindikali? hahahaha usijali banaHeaven on earth