ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Sir Kaizer umeonaee salute to madame Mamndenyi kwa jinsi ambavyo amekuwa bubu kwa brother chama. Halafu mimi simuelewagi Madame B, hivi atamuweza huyu mwanasiasa mfia chama ZeMarcopolo kweli? Mimi naona bora aendelee kum-tight Nyani Ngabu tu maana angalau ana muda wa kumtoa outing. huyu jamaa Ritz, sijui hata kama anajua mahaba, concentration yake kubwa iko kwenye kujenga chama. halafu wewe Jerrymsigwa, huyo Heaven of Earth utajuta kumpenda maana ana vigogo huyo wacha kabisa
Kama komaa na huyu huyu Heaven on earth,
Safey sana Kipipi...pole kuna sehem nimeona unasema kidoogo afya inazingua
Samahani Mkuu ZeMarcopolo, nilikuwa namtahadharisha tu dada yangu Madame B ili kupunguza vikao vya usuluhishi vya ukoo baadae hasa 2015 utakapokuwa unalala kwenye kampeniMakoyo vipi tena? Mbona unanipeperushia ndege wangu mkuu?
Mdada nimefurahi kusikia afya yako imeimarika. Welcome back mdadaYeah . . . .
Ni kweli ka afya kalikuwa kanazingua kidogo ila kwa sasa ni okey.
BTW, asante, pole yako nimeipokea.
Mdada nimefurahi kusikia afya yako imeimarika. Welcome back mdada
Heaven on earth, wala sijamtisha bana, nimemweleza ukweli tu yeye aamue mwenyewe.......halafu bado sijamfahamu huyo hoe.
hahahaha kumbe na wewe bilionea wa arachuga, sukumana naye tu utamnyaka fasta kama una kitoweo
Samahani Mkuu ZeMarcopolo, nilikuwa namtahadharisha tu dada yangu Madame B ili kupunguza vikao vya usuluhishi vya ukoo baadae hasa 2015 utakapokuwa unalala kwenye kampeni
aulizaye atakajua; visirani vya nini asubuhi hii niache nijilie chapati kwa ngisi wa kupwaza!
Dada yangu Kipipi.
Thanks mkaka.
Here I am. . .
Unajua niko serious na huyu binti...sitanii! Nimemjenga vikubwa sana kichwani!
hahahahaha hapana Mkuu, niko mnyoofu tuWe kweli umepinda...
Duh! Sikulitambua hilo mapema aisee, haya wee bibie hoeuwiii kama hujamfaham HOE hadi leo unakazi.....
hiko no kifupi cha Heaven on earth yule mtu ndio alifupisha vilee
kazi yako ataiweza lakini madame b?Kazi kwako!
Unajua nakupendaga sana, (in babu seya's voice)
Sir Kaizer umeonaee salute to madame Mamndenyi kwa jinsi ambavyo amekuwa bubu kwa brother chama. Halafu mimi simuelewagi Madame B, hivi atamuweza huyu mwanasiasa mfia chama ZeMarcopolo kweli? Mimi naona bora aendelee kum-tight Nyani Ngabu tu maana angalau ana muda wa kumtoa outing. huyu jamaa Ritz, sijui hata kama anajua mahaba, concentration yake kubwa iko kwenye kujenga chama. halafu wewe Jerrymsigwa, huyo Heaven of Earth utajuta kumpenda maana ana vigogo huyo wacha kabisa
dah! huyo Babu wa watu sasa kapiga chafya kule lupango...