ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Sir Kaizer umeonaee salute to madame Mamndenyi kwa jinsi ambavyo amekuwa bubu kwa brother chama. Halafu mimi simuelewagi Madame B, hivi atamuweza huyu mwanasiasa mfia chama ZeMarcopolo kweli? Mimi naona bora aendelee kum-tight Nyani Ngabu tu maana angalau ana muda wa kumtoa outing. huyu jamaa Ritz, sijui hata kama anajua mahaba, concentration yake kubwa iko kwenye kujenga chama. halafu wewe Jerrymsigwa, huyo Heaven of Earth utajuta kumpenda maana ana vigogo huyo wacha kabisa
Makoyo vipi tena? Mbona unanipeperushia ndege wangu mkuu?