mi muzima hofu kwako
Kazi kwako!
Hahha unless hajui kilichompata Chimbuvu na kiplagati26Yaani mie sijali kama ataukwaa u-MP au vipi, lakini kwa kweli nimeshindwa kujizuia juu yake.
Kila nionapo post yake mie lazima niifungue.
Japo nina wa ubani wangu Ben Saanane, lakini huyu...
Kiboko.
Hahha unless hajui kilichompata Chimbuvu na kiplagati26
Dah..mokoyo umenirudisha getini kabisa, but cjui, ila avatar yake inamdescribe jinsi alivo. Hana tofauti na Denzel Washington
Mndengereko asante sana jamani......,nimefurahi aiseeHeaven on earth dah huyu binti huwa ananikosha sana!!!,just to be honest....
Heaven on earth dah huyu binti huwa ananikosha sana!!!,just to be honest....
nini kilinipata wewe?