Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Unahisi kumpenda nani hapa JF?

halafu umeshukuru na kushukuru...............mama weeee, nway sina jinsi zaidi ya kukuamini na kutuliza moyo wangu, nisije kujifia bure mie na kukuacha huku wengine wakikufaidi mchana na usiku
nyota yake kali huyu acha tu tuuane,mwisho wa siku mwenye kisu kikai ndio mla nyama
 
haya bana tuendelee na hii vita baridi ila naamini nishampata maana leo kaamkia kwangu
nasubiri conatract yake iishe kwako nimpe mkataba mpya kutoka kwangu naamini hawezi kuukataa halafu ukizingatia nimeanza kujua chimbo zake i hope nitafanikiwa.
 
nasubiri conatract yake iishe kwako nimpe mkataba mpya kutoka kwangu naamini hawezi kuukataa halafu ukizingatia nimeanza kujua chimbo zake i hope nitafanikiwa.

contract ya Heaven on earth+, kwangu ni ya kudumu sio kama ya wachezaji wa soka wa ulaya bana, utajiju
 
Back
Top Bottom