Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Mndengereko asante sana jamani......,nimefurahi aisee

halafu umeshukuru na kushukuru...............mama weeee, nway sina jinsi zaidi ya kukuamini na kutuliza moyo wangu, nisije kujifia bure mie na kukuacha huku wengine wakikufaidi mchana na usiku
 
halafu umeshukuru na kushukuru...............mama weeee, nway sina jinsi zaidi ya kukuamini na kutuliza moyo wangu, nisije kujifia bure mie na kukuacha huku wengine wakikufaidi mchana na usiku
nyota yake kali huyu acha tu tuuane,mwisho wa siku mwenye kisu kikai ndio mla nyama
 
haya bana tuendelee na hii vita baridi ila naamini nishampata maana leo kaamkia kwangu
nasubiri conatract yake iishe kwako nimpe mkataba mpya kutoka kwangu naamini hawezi kuukataa halafu ukizingatia nimeanza kujua chimbo zake i hope nitafanikiwa.
 
nasubiri conatract yake iishe kwako nimpe mkataba mpya kutoka kwangu naamini hawezi kuukataa halafu ukizingatia nimeanza kujua chimbo zake i hope nitafanikiwa.

contract ya Heaven on earth+, kwangu ni ya kudumu sio kama ya wachezaji wa soka wa ulaya bana, utajiju
 
Kumbe Mzee Kaizer, yuko fresh kwenye kukuruka na walimbwende eeee?
subiri nitoke chimbo kurukaruka kwake kote kutabaki historia. huyu kungwi niliyempata ni bab kubwa kwa maujuzi ya kutuliza watu kama hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…