Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Nikisema ukweli balaa, nikiongopea, balaa...

nimeamua kuwa mpole
 
siku hizi mialiko inatolewa KINAMNA NAMNAπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.bahati mbaya kwako kwamba ninapajua mahala...!kibaya zaidi ni kwamba ''katibu mkuu'' ananifahamu.nitakuja bila kupiga simu

Kuku wako mwenyewe manati ya nini?

Kwanza una kesi kubwa ya kujibu kwa Makamba!
 
Kuku wako mwenyewe manati ya nini?

Kwanza una kesi kubwa ya kujibu kwa Makamba!
kesi ya makamba ni rahisi kui-handle.takuwa na RED-WINE YA BOX PALE...!tunajadili kesi huku kimiminika chekundu kinaendeleaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hivi taratibu za talaka zikoje? Hebu angalia hapo chini shemejio anamfeel nani......

😑😑😑!!!!!!

Hommie, kosa MOJA haliacchi mke! do ze nidifulπŸ˜€
 
kesi ya makamba ni rahisi kui-handle.takuwa na RED-WINE YA BOX PALE...!tunajadili kesi huku kimiminika chekundu kinaendeleaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
"Nenda kwa Amani Kijana. Huna kesi ya kujibu" Atasema Makamba.

Then tunavuka barabara tunakaa kaunta Etienez huku tukiiteketeza valuu. Makamba na Mshiki watafuata baadaye.πŸ˜€πŸ˜€

Baadaye tukutuku vruuuuuum! Breki ya kwanza Chawoteeeeee!
 
"Nenda kwa Amani Kijana. Huna kesi ya kujibu" Atasema Makamba.

Then tunavuka barabara tunakaa kaunta Etienez huku tukiiteketeza valuu. Makamba na Mshiki watafuata baadaye.πŸ˜€πŸ˜€

Baadaye tukutuku vruuuuuum! Breki ya kwanza Chawoteeeeee!
hapo umekomplai na ratiba ya mpwaaz orijinale!twende kazi.
 
e.g,......πŸ˜€
Tufanye mkeo ni The Masaki-Makambako wonder of the wedding. We unajua yuko kwenye unajimu........ Lakini...................Unamkuta na Fidel ndani ya Usalule........... Ah! Ngoja tuishie hapo.
 
Tufanye mkeo ni The Masaki-Makambako wonder of the wedding. We unajua yuko kwenye unajimu........ Lakini...................Unamkuta na Fidel ndani ya Usalule........... Ah! Ngoja tuishie hapo.

Mkulu hili ni tatizo LA KITAIFA....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…