Unahisi kumpenda nani hapa JF?

kwa kweli mi namzimia diana doble diff hahahaha bila kumsahau bwabwa
 
mpwaaz kuna jukwaa la hali ya hewa za gesti hujaliona?

Sijaliona mkuu, unajua mimi hapa mjini ni mgeni, nimetoka Kilosa juzi juzi tu. Hebu nipe link tafadhali!
 
The Following User Says Thank You to Masaki For This Useful Post: MwanajamiiOne (Today)

Masaki ile yuzifuli posti yako ya gesti ya sinza umekamata senksi ya mjukuu wangu.

Hii inamaanisha nini?
 
Masaki umewaza nini? umenifanya nicheke kwa nguvu unajua?


Siwazi kitu mamii, ila nafanya tathmini ya matokeo ya hali ya hewa kama ya leo!

BTW, hivi upo maana sijakuona jamvini siku nyingi sana!
 
The Following User Says Thank You to Masaki For This Useful Post: MwanajamiiOne (Today)

Masaki ile yuzifuli posti yako ya gesti ya sinza umekamata senksi ya mjukuu wangu.

Hii inamaanisha nini?

Dah! SENKSI siku hizi zimekuwa adimu sana hapa jamvini, hii ni ya kwanza tangu mwezi huu uanze! Amegonga senksi kwa kufurahishwa na utafiti na upembuzi wangu yakinifu kuhusiana na yatakayojiri kutokana na hali ya hewa ya leo!
 
The Following User Says Thank You to Masaki For This Useful Post: MwanajamiiOne (Today)

Masaki ile yuzifuli posti yako ya gesti ya sinza umekamata senksi ya mjukuu wangu.

Hii inamaanisha nini?
Babu Shkang'

Mbona unafitinisha na Masaki? Mimi nimefurahi tu kwa kuwa amewaza outside the Box jamani!!

Masaki usijali Babu amefulia anatafuta mkaja wa babu kwa nguvu lol
 
chunguza posts na ufahamu wako ukuongoze kwa vigezo sahihi kwa kadri ya misingi ya JF
Membaz wote wako ok katika different dimensions
 
MJ1 nimeipenda sana signature yako....inatufaaa sana sisi wajasiriamali!!!!

''The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........😱 Maria Fontaine ''
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=6oK4yVdwLPg&feature=related"]YouTube- Akon -- I wanna Love you[/ame]
 
Babu Shkang'

Mbona unafitinisha na Masaki? Mimi nimefurahi tu kwa kuwa amewaza outside the Box jamani!!

Masaki usijali Babu amefulia anatafuta mkaja wa babu kwa nguvu lol

Niko kimaslahi zaidi kajukuu.

Mpaka kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…