kashwagala
Senior Member
- Mar 10, 2010
- 116
- 17
a problem shared is a problem half solved.......namshukuru Maulana sikuwepo!!!
BTW hiy signature....mmh!!! (i hv a problem today...am short of words)
a problem shared is a problem half solved.......
Nina sikio la kusikiliza!
Hivi huyu jamaa ni nani?Sio mbaya lakini bht, si unajua hii Kwaresima ukipitiliza unatangaza tu kuwa nimefunga, kuliko kwenda kula saa kumi utapingana na utaalamu wa Ndugu Ndodi
JF Star Search wala hahitajiki humu ndani, labda gharama za kwenda kurekodi tu ziwe juu, ila vipaji vimo babaakeNawapenda wapenda.., wakina nani
Nawapendaaa!
Vijana fulani, nani,
Nawapenda.......
Wahuni kidogo, nawapenda,
Ni vichwa kichizi, nawapenda.
Serious when needed, nawapenda.
Wanafikiri nje ya box, nawapenda
Wacheshi sana, nawapenda.
Wanapenda mabia na mavaluu na mavinywaji ya baridi
Nawapenda....
wanajamiiana sana (wana-socialize sana)
Nawapenda.
i am enjoying the dotsππB si nimesema leo nakosa maneno ya kuandika...........
i am enjoying the dotsππ
Mpwa hivi ulisema unatumia kinywaji gani vile?Nawapenda wapenda.., wakina nani
Nawapendaaa!
Vijana fulani, nani,
Nawapenda.......
Wahuni kidogo, nawapenda,
Ni vichwa kichizi, nawapenda.
Serious when needed, nawapenda.
Wanafikiri nje ya box, nawapenda
Wacheshi sana, nawapenda.
Wanapenda mabia na mavaluu na mavinywaji ya baridi
Nawapenda....
wanajamiiana sana (wana-socialize sana)
Nawapenda.
Kwenye blue nahisi kama nimekuelewaMpwa Goeff nitafutepo nina ujumbe wa muhimu sana ambao hautakiwi ulale
Hommi Xpin kuna data na-analyse lakini so far mambo mazuri
MJ1 popote ulipo....una kesi ya kujibu
Kwani kuna nyingine zaidi ya hizi?...............tic toc tic toc, au hizi kama za saa! au zile za kungoja majibu, unazijua......kifuani kwa moyo, halafu kama hizo hizo huwa zinakuwaga wakati naniliuuu, presha inapanda........inashuka baaadaeeee!dots hiziza hivi..............? wat z so special with the dots Goeff?
kwanini jamani? Pole kama unaumwaB si nimesema leo nakosa maneno ya kuandika...........
Konyagi, nachanganya na tonic/clubsoda, usisahau na slace za limaoMpwa hivi ulisema unatumia kinywaji gani vile?
Kwenye blue nahisi kama nimekuelewa
Kwenye black nimekuelewa
Kwenye red.......πππ!!!!!!!!!
Najaribu kukusoma katikati ya mistari, waseminaristi siyo wa kusomwa kijuujuu!Kwani kuna nyingine zaidi ya hizi?...............tic toc tic toc, au hizi kama za saa! au zile za kungoja majibu, unazijua......kifuani kwa moyo, halafu kama hizo hizo huwa zinakuwaga wakati naniliuuu, presha inapanda........inashuka baaadaeeee!
Yani nimejikuta naandika tu! nafikiri kwa niaba yako
Ukweli ni kwamba FL1 wewe ni kati ya watu ninaowapenda hapa JF, unanipa raha sana na zaidi unanipa hamu ya kuendelea kulogin in, pamoja siku zote mamaMie nawapenda mchanganyiko wooote wanaume na wanawake ...hata mmoja sibagui hata nijiulize ni juu ya nini niwabague jibu ni No mnanipa raha kila napo _Log in JF
Ni vigumu kumshukuru kila mmoja wenu lakini michango yenu naithamini sana
Konyagi, nachanganya na tonic/clubsoda, usisahau na slace za limao
Mie nawapenda mchanganyiko wooote wanaume na wanawake ...hata mmoja sibagui hata nijiulize ni juu ya nini niwabague jibu ni No mnanipa raha kila napo _Log in JF
Ni vigumu kumshukuru kila mmoja wenu lakini michango yenu naithamini sana
Mhe. Xpin, hapa umenena, Ndio maana adhabu zao sio za kitotoNajaribu kukusoma katikati ya mistari, waseminaristi siyo wa kusomwa kijuujuu!
Nani huyo anakununisha?Kwa kweli kila mtu anatia raha humu jamvini kwa staili yake. maana mtu ukiwa unasoma posts mara ucheke, mara utabasamu, mara unune, mara ushangae..... ilimradi tu masaa yanaenda. na unaweza kujikuta siku nzima upo glued kwenye JF web page.
Tangu mwanzo wa thread mpaka hapa tulipo sijaona sehemu uliyonifagilia japo kiduchu. Mimi na wewe tumewahi kugombea mapenzi? Do the needful basi kaka/dada. LOLZ! Hahahaha!Ukweli ni kwamba FL1 wewe ni kati ya watu ninaowapenda hapa JF, unanipa raha sana na zaidi unanipa hamu ya kuendelea kulogin in, pamoja siku zote mama