Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Sawa baada ya miezi tisa jiandae kumpatia mtoto wetu jina maana mechi niliyocheza na Viol jana duu si mchezo yaan

Hivi kwanini sijakufahamu toka mwanzo mpenzi,sijawahi kupewa utamu kama huo,Hebu njoo bhana kule nimemiss mapigo yako ya moyo yanavyoenda kasi mambo yakikolea😛😛
 
Last edited by a moderator:
Sawa baada ya miezi tisa jiandae kumpatia mtoto wetu jina maana mechi niliyocheza na Viol jana duu si mchezo yaan

Yaliyomo yamo lkn??? Just curious😉😉
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwanini sijakufahamu toka mwanzo mpenzi,sijawahi kupewa utamu kama huo,Hebu njoo bhana kule nimemiss mapigo yako ya moyo yanavyoenda kasi mambo yakikolea😛😛

Lol ata mimi nashangaa sijui yale mautamu niliyoyafaidi na atoto nae alikuwa anayafaidi... bora mliachana tuu jaman atoto alikuwa ananizibia riziki. Kwa mara ya kwaza nime enjoy penzi jamani ni jana natamani iendelee ivyo ivyo.
Hahahaaaa atoto maumivu yakizidi mtafute Manga ML atoke huko kwenye mwezi mtukufu.
 
Last edited by a moderator:
Yaliyomo yamo lkn??? Just curious😉😉

Ndo ukweli huo mamy nililala kwenye six p. Adi pakakucha lol mwanaume anajua kudekeza huyo jamani yaan raha burudan utazan tunacheza movie yani
 
Lol ata mimi nashangaa sijui yale mautamu niliyoyafaidi na atoto nae alikuwa anayafaidi... bora mliachana tuu jaman atoto alikuwa ananizibia riziki. Kwa mara ya kwaza nime enjoy penzi jamani ni jana natamani iendelee ivyo ivyo.
Hahahaaaa atoto maumivu yakizidi mtafute Manga ML atoke huko kwenye mwezi mtukufu.

Ndo maana nakupenda mpenzi ur so sweet
 
Last edited by a moderator:
Lol ata mimi nashangaa sijui yale mautamu niliyoyafaidi na atoto nae alikuwa anayafaidi... bora mliachana tuu jaman atoto alikuwa ananizibia riziki. Kwa mara ya kwaza nime enjoy penzi jamani ni jana natamani iendelee ivyo ivyo.
Hahahaaaa atoto maumivu yakizidi mtafute Manga ML atoke huko kwenye mwezi mtukufu.

Hahahahaaaaaaa!!! Weeee huyo hata hakuuonja utamu wangu hata chembe, aliishia kwenye probation tu,
Hebu muache Manga ML wangu usimuharibie mfungo wake huko(the sweetest man ever lived) nawe maumivu yakizidi usijali mweka hazina nipo takupooza kwa mashoping ya hatari si unajua nazihifadhi vzr(for staters thats a very good strategy) kumbe somo lilikuingia, kazana mdogo wangu mpaka kieleweke.
 
Last edited by a moderator:
Ndo ukweli huo mamy nililala kwenye six p. Adi pakakucha lol mwanaume anajua kudekeza huyo jamani yaan raha burudan utazan tunacheza movie yani

😱😱😱 kwenye six nini??? Au nimesoma vibaya? Hebu nipe miwani tafadhali
 
😱😱😱 kwenye six nini??? Au nimesoma vibaya? Hebu nipe miwani tafadhali

Park maadam kwani wew ulizani six nini hahahahaaaaa....ivi mamy huu uzi ni upi? Ule ule wa mwanzo?
 
Hahahahaaaaaaa!!! Weeee huyo hata hakuuonja utamu wangu hata chembe, aliishia kwenye probation tu,
Hebu muache Manga ML wangu usimuharibie mfungo wake huko(the sweetest man ever lived) nawe maumivu yakizidi usijali mweka hazina nipo takupooza kwa mashoping ya hatari si unajua nazihifadhi vzr(for staters thats a very good strategy) kumbe somo lilikuingia, kazana mdogo wangu mpaka kieleweke.

Hahahaaa kwa hiyo unamngoja amamize mfungo? Kipururu kitakuua jaman adi utashindwa kutembea.... aaaaah mimi kila siku mwepesi anamaliza ny.g zote
 
Last edited by a moderator:
Park maadam kwani wew ulizani six nini hahahahaaaaa....ivi mamy huu uzi ni upi? Ule ule wa mwanzo?

Imebidi nirudi niangalie heading ya uzi tusijekuwa tunabaka mada, ni uzi ule ule mamii, nilikuelewa ila sasa nikajiuliza hv mdogo wangu anakijua hicho anachokiongelea kweli au akisikiaga zinatajwa anahisi ni kitanda!!!
 
Imebidi nirudi niangalie heading ya uzi tusijekuwa tunabaka mada, ni uzi ule ule mamii, nilikuelewa ila sasa nikajiuliza hv mdogo wangu anakijua hicho anachokiongelea kweli au akisikiaga zinatajwa anahisi ni kitanda!!!

Uwiii sio huu mamy ule ulikuwa umeanzishwa na Kimbley au umeunganishwa? Alafu ule ulikuwa unasema ni mwana jf yupi unatamani ukutane nae
 
Last edited by a moderator:
Uwiii sio huu mamy ule ulikuwa umeanzishwa na Kimbley au umeunganishwa? Alafu ule ulikuwa unasema ni mwana jf yupi unatamani ukutane nae

Uwiiiiii!! Hebu tuondoke mama, kumbe tumechanganya madesa!!
 
Last edited by a moderator:
Uwiii sio huu mamy ule ulikuwa umeanzishwa na Kimbley au umeunganishwa? Alafu ule ulikuwa unasema ni mwana jf yupi unatamani ukutane nae

Hizi nyuzi smtms zinachanganya. Mwenyewe jana nilichanganyika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom