Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kwenye mapenzi hakuna muafaka kwa mtu anayefukuzia asali wa moyo wakoJamani si Nilitanguliza kuomba msamaha kama kuna mtu nitakuwa nimemkwaza kwa kumtaja Munkari?!!
Hahahaaaaa,huyu aliyeanzisha huu uzi nilijua analeta vita humu ndani,bora watu wengine tungebaki na siri zetu moyoni!
Aisee kwenye mapenzi hakuna muafaka kwa mtu anayefukuzia asali wa moyo wako
hahahaa usijali kaka, hakuna cha tindikali hapaHahaaa yamekuwa hayo,jamani ngozi yangu naipenda mie,sitaki kumwagiwa tindikali!Ukishasikia watu wanasema hakuna muafaka,kinachofuata hapo ni tindikali,tetehehee!!!!
hahahaa usijali kaka, hakuna cha tindikali hapa
abeee nipo jana na leo laazizi
nimegundua kuna m2 unamnyatia"what does not kill us,makes us stronger" lets gooo>>>>>>
Wewe Man U au Arsenal Mkuu?Hahaaa,nilishajifungia ndani,chezea tindikali wewe!!Sasa ngoja nikaangalie zangu soka!!
haya bwana nimekuelewa na hiyo signature yako yajieleza kabisa