Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama kawaida yetuKuna nini kinaendelea hapa ??
Kuna nini kinaendelea hapa ??
Zina ladha yake bana hizi offtopicsOFF-TOPICS
Mi huwa najuaga anatakiwa awe wa kike, kama ndivyo, basi unam-admire kwenye issues gani?Mapenzi na Mahusiano! Tuambie nani ''secret admirer'' wako hapa JF?![]()
Mkuu ukimya wako katika kumtaja anayekupa kimuwemuwe unanipa shaka, husiogope wa hapa JF hawabemendi mwana, just online, do the nidful basi kakaMapenzi na Mahusiano! Tuambie nani ''secret admirer'' wako hapa JF?![]()
Jamani FL1 si tulikuwa wote jamani?Kuna nini kinaendelea hapa ??
Mkuu ukimya wako katika kumtaja anayekupa kimuwemuwe unanipa shaka, husiogope wa hapa JF hawabemendi mwana, just online, do the nidful basi kaka
nhuuu! hapo sasa,
OLE WAO WAZINZI, WAONGO, WAZUSHI, WADHULUMAJI, NAAM WAASHERATI, WATUKANAJI NA WAFIRAJI HAWATAURITHI UFALME WA MBINGUNI ya anyisile abheliphrase ipi hiyo? Ungeikoti basi, nimepata hamu ya kujiua kweli, sijui hata ya nani?
Kwani kuna nyingine zaidi ya hizi?...............tic toc tic toc, au hizi kama za saa! au zile za kungoja majibu, unazijua......kifuani kwa moyo, halafu kama hizo hizo huwa zinakuwaga wakati naniliuuu, presha inapanda........inashuka baaadaeeee!
Yani nimejikuta naandika tu! nafikiri kwa niaba yako
Najaribu kukusoma katikati ya mistari, waseminaristi siyo wa kusomwa kijuujuu!
Ngoja watakuibukia sasa hivi!!asante B!!! you are the real mseminarist wengine wa kichina tu
Mimi leo nipo ki-counselor zaidi!!! infact tangu jana, sema wewe uligoma kuniambia tatizo lako
hahaaaaaa!!!!
cheusimangalaNampenda nampenda, nani...... Mmm..... mzuri, Nani......Mwenye macho mazuri, Nani..... mwenye miguu mizuri.......Nani....(nanihii...nanihii...)
Ngoja watakuibukia sasa hivi!!
mpiga kinanda upooo!! eti we wakichina
kwahiyo leo uko fulu mwana? twende kazi bht wangu, nisipokuona wewe mwili unazizima, really am telling you mwayahahaaa jana nilipigwa shoti vidoleni........leo fulu kazi hapa!!!!