Unahisi kwanini P Diddy ametaja hayo majina yote hapo? Ukweli ni huu

Unahisi kwanini P Diddy ametaja hayo majina yote hapo? Ukweli ni huu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412


Majamaa waliingia nyumbani kwa Diddy na wakachukua kila kitu, ikiwemo hard disk za kamera za siri ambazo Diddy alikuwa ameweka kwa ajili ya kurekodi kila kitu kilichokuwa kinaendelea.

Kamera za siri? Yaani alikuwa anarekodi kila kitu, hadi kitendo cha Diamond kuingia kwenye jumba lile, kilirekodiwa.

Hii ni kawaida sana hasa kwa watu maarufu. Wale TISS ya Marekani sasa wanajua kila kitu: nani alifanywa na Diddy, nani hakufanywa, nani alisalimika, na nani aliwahiwa.

Wasanii wengi wapo kimya kwa sababu wanajua kuwa majamaa wana ushahidi wa kila kitu. Wanachofanya ni kuvujisha taarifa moja baada ya nyingine, si kwa bahati mbaya, bali makusudi kabisa.

Jay Z kimyaaaa. Dj Khaled, Beyonce, na Lebron James pia wapo kimyaaaa. Unadhani zile sauti za Burna Boy zinatolewa bure? Ni kwa makusudi.

Mademu wengi wamemalizwa humo, ikiwemo mastaa wa Afrika walioshinda Grammy. Jiulize, kwa nini Davido hasemwi kwenye hili?

Ukizaliwa kwenye pesa na ukakua kwenye pesa, kuna ulimbukeni fulani huna. Tofauti na aliyekuwa choka akipata pesa, huwa tunakosa nidhamu. Hii ni changamoto kubwa kwa watu weusi. Washajua hilo, hivyo inakuwa rahisi kutudhibiti.

Hawakushindwa? Wanamtumia mkeo; anaomba talaka, unatozwa pesa nyingi. Hakuna mtu mweusi aliye salama kwa sababu ya ulimbukeni wa pesa tulionao.

Wakipata pesa, maslay queen wote wanataka kula, washikaji wanakula bata klabu, na mbaya zaidi, washauri wetu huwa ni watu weusi. Angalia wale walio na washauri wa kizungu huko US, kuna tofauti kubwa.

Mpaka sasa, hakuna staa aliye salama, hasa kwa Diddy. Diddy hawezi kuchomoka hili, ama atafungwa au mtu atatumwa aondoe roho yake.

Ukiua kwa upanga, utakufa kwa upanga. Huwezi kumuua 2pac ukabaki salama. Huwezi kumdedisha BIG na kumdhulumu mkewe Faith Evans ukabaki salama. Huwezi kumdhulumu Mase, akaangua kilio kanisani halafu ukabaki salama.

Mara nyingine, tunatengeneza hatima yetu hapa duniani. Umeua kwa upanga, utakufa kwa upanga.
 
IMG-20241001-WA0010.jpg
 
Unaua brand Mshana Jr wewe level uliyofikia sio wa kuchukua habari fb tena kwa Mange Kimambi

Tuletee habari kutoka source za maana

Achana na habari za kuunga unga kutoka kwa huyo malaya
Achana na habari za kuunga unga kutoka kwa huyo malaya.. Duh
Nyemo chilonga ndio mwandishi wa makala hii, tusisahau kutoa credit kwa wahusika
Credit; Mange Kimambi FB na link ipo Mwanzoni kabisa ila kama kuna mwingine Pia naye credit kwake
 

View: https://www.facebook.com/share/v/wXRUZzMo624yBNyF/?mibextid=Mk4v2M



Majamaa waliingia nyumbani kwa Diddy.
Wakachukua kila kitu.
This include hard disk za kamera za siri ambazo alizoweka.
Kamera za siri?
Yeeees.
Yaani alikuwa anarekodi kila kitu kilichokiwa kinaendelea, kila kitu.
Yaani hadi Diamond kitendo cha kuwa ndani ya jumba lile, alirekodiwa.
Hii ni kawaida sana.
Hasa kwa watu maarufu.
So mpaka now, wale TISS ya Marekani wanajua nani alifanywa na Diddy.
Nani hakufanywa.
Nani alisalimika.
Nani aliwahiwa.
So ukicheki, wasanii wengi wapo kimya.
Hawaongei hovyo kwa kuwa wanajua majamaa wana ukweli mtupu.
Na wao wanachofanya, wanavujisha moja baada ya jingine.
Hii si kwa bahati mbaya bro.
Wanafanya makusudi kabisa.
Jay Z kimyaaaa.
Dj Khaled kimyaaaa.
Beyonce kimyaaaa.
Lebron James kimyaaaa.
Unadhani zile sauti za akina Burna Boy zinatolewa bure? Ni makusudi.
Ila kama ile ni yeye, why wameivujisha?
Mademu kibao wamemalizwa mule.
Including wale mastaa wa Afrika walioshinda Grammy.
Hapa jiulize kitu kimoja.
Why Davido hasemwi kwenye hili?
Ukizaliwa kwenye pesa, ukakua kwenye pesa, kuna ulimbukeni fulani hivi huna.
Tofauti na aliyekuwa choka akija kupata pesa.
Guys!
Hizi ngozi nyeusi zikipataga pesa huwa tunakuwa na matatizo sana.
Tunakosa nidhamu.
Tofauti na wenzetu.
Hili lipo kila kona. Kuna nidhamu kubwa tunakosa.
Na kwa sababu washajua hilo, inakuwa rahisi sana kutudaka.
Wakishindwa, wanamtumia mkeo.
Aombe talaka, upigwe pesa nyingi.
Hakuna mtu mweusi aliye salama, na yote hii ni kwa sababu ya ulimbukeni wa pesa ambao tunao.
Ukipata pesa.
Maslay queen wote unataka kula.
Washikaji watakula bata sana klabu.
Na ubaya, washauri wetu huwa watu weusi.
Nenda pale US angalia watu wenye washauri wa Kizungu, utaona utofauti.
So mpaka now hakuna staa aliye salama.
Hasa kwa Diddy.
Diddy hawezi kuchomoka hili.
Atafungwa.
Atatumwa mtu asepe na roho yake.
Inakuwa mwisho wake.
Ukiua kwa upanga, utakufa kwa upanga.
Huwezi kumuua 2pac ukapona.
Huwezi kumdedisha BIG ili uimiliki jumla Bad Boys na kumdhulumu pesa mkewe Faith Evans ukabaki salama.
Huwezi kumdhulumu Mase, akalia kanisani halafu ukabaki salama.
Sometimes tunatengeneza hatma yetu hapahapa duniani.
Umeua kwa upanga.
Utakufa kwa upanga.

HE DID DIRTY ON SHYNE BARROW TOO. HE SANG HE WONT STOP AND BAD BOYS CANT STOP . THAT WAS PUFFY
 
Huwezi kumuua 2pac ukapona.
Huwezi kumdedisha BIG ili uimiliki jumla Bad Boys na kumdhulumu pesa mkewe Faith Evans ukabaki salama.
Huwezi kumdhulumu Mase, akalia kanisani halafu ukabaki salama.
Sometimes tunatengeneza hatma yetu hapahapa duniani.
Umenena..

Yaani hii imetukaa wengi miaka naenda rudi, esp ya Faith na kujiimbisha nae ule mwimbo haraka haraka.

Handsome boy Mase.. Vidimpo vyakevilini.. Mmmh.. Maliza macho.. 😅😅😅

Tamaa mbaya inamuhusu pia.
 
Alipotaja Naomi nikashtuka.. 😅😅😅 Supa kasawazisha hapo hapo ya dadake
 
Duuh Snoop na Rozay wapo kwnye list hahahaaaa ,nilivyoona jina la burna boy ndiyo nimeconfirm kwamba hiyo list ni waliopakwa WESE ila kwa Snoop na Rozay ndiyo kama siamini amini.
 

Mambo ya fb yanaletwa humu na mtu anaejinasibu kukomaa kiakili na kuaminika. Hovyo kabisa
Hivi FB mnaichukuliaje kwani? Kwani hiki kilichoandikwa FB na mengine yaliyoandikwa
Mambo ya fb yanaletwa humu na mtu anaejinasibu kukomaa kiakili na kuaminika. Hovyo kabisa
Unapaswa kuelimishwa uelimike sio kukasirikiwa
 

Mambo ya fb yanaletwa humu na mtu anaejinasibu kukomaa kiakili na kuaminika. Hovyo kabisa
Hivi FB mnaichukuliaje kwani? Kwani hiki kilichoandikwa FB na mengine yaliyoandikwa
Mambo ya fb yanaletwa humu na mtu anaejinasibu kukomaa kiakili na kuaminika. Hovyo kabisa
Unaua brand Mshana Jr wewe level uliyofikia sio wa kuchukua habari fb tena kwa Mange Kimambi

Tuletee habari kutoka source za maana

Achana na habari za kuunga unga kutoka kwa huyo malaya
 
Back
Top Bottom