Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Rahabu

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
5,526
Reaction score
3,341
mf:
1. Arushaone nahic atakua ni mtu asiyenyoa ndevu. pia atakua anapenda kuvaa suti koti na suruar tofaut.
2. Mamndemi ni mmama mwenye watoto na mwenye staha ila akiwa humu anajiche2a
3 Mzizi mkavu na Mr Rocky ni wa2 wa makamo wanaejiheshimu sana
5. kiwatengu, Madame B hawa wanapenda kujirusha wengine 2taendelea.
 
Last edited by a moderator:
mf:
1. Arushaone nahic atakua ni mtu asiyenyoa ndevu. pia atakua anapenda kuvaa suti koti na suruar tofaut.
2. Mamndemi ni mmama mwenye watoto na mwenye staha ila akiwa humu anajiche2a
3 Mzizi mkavu na Mr Rocky ni wa2 wa makamo wanaejiheshimu sana
5. kiwatengu, Madame B hawa wanapenda kujirusha wengine 2taendelea.

unamaanisha mimi napenda kujirusha na Madame B?
sijakupata hapo.
 
Last edited by a moderator:
Wengine hata nashindwa ku-imagine wako vipi.
 
kiwatengu inamaana unapenda upate nafasi ya kujirusha na Madame B....?

Naona mnamchokoza madame ngoja aje, mie nahisi a.rahabu ni mtu mpole mwenye stress za mwanaume anaetaka kuliwazwa either ns jf au mwanaume wa jf
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom