Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😛hoto:😛hoto:Nakubaliana na wewe hasa hapo kwa Kaizer na miss neddy. Ila Asprin mi nahisi ni mwembamba af mfupi-mfupi hivi:der::der:....yan ana mwili mdogo:A S 114::A S 114:...ana watoto wawili:shock::shock:
Mimi na wewe haziivi tena? Kuanzia lini?Hahaa umafikiria tofauti sana na mimi kumbe ndio maana hata hatuivi[emoji13]
Aah nimeona nikupotezee unanizibia tu rizki watu wanaona niko taken kumbe mtu mwenyewe mzinguajiMimi na wewe haziivi tena? Kuanzia lini?
Hahaha..... Haya mama kila la kheri nikutakie tu upate bwana mcharo kama mimi akikutesa rudi sawa!Aah nimeona nikupotezee unanizibia tu rizki watu wanaona niko taken kumbe mtu mwenyewe mzinguaji
Sirudi ng'oo tena nisikuone unapita mbele yanguHahaha..... Haya mama kila la kheri nikutakie tu upate bwana mcharo kama mimi akikutesa rudi sawa!
Sio kwa mkwara huu.... Ila nakulove mimi kam wewe hunipendi sawa.Sirudi ng'oo tena nisikuone unapita mbele yangu
Unikome naona unataka kunilainisha sidanganyikiSio kwa mkwara huu.... Ila nakulove mimi kam wewe hunipendi sawa.
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji132]Unikome naona unataka kunilainisha sidanganyiki
My everloved wifeAngel Nylon binti mmoja mrembo matata sana ila ana staha na mkimya sana
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji35] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji123] [emoji123] [emoji115]
Nourhan mzuri shombeshombe 😘mf:
1. Arushaone nahic atakua ni mtu asiyenyoa ndevu. pia atakua anapenda kuvaa suti koti na suruar tofaut.
2. Mamndemi ni mmama mwenye watoto na mwenye staha ila akiwa humu anajiche2a
3 Mzizi mkavu na Mr Rocky ni wa2 wa makamo wanaejiheshimu sana
5. kiwatengu, Madame B hawa wanapenda kujirusha wengine 2taendelea.
Hahaha