Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Kaizer ni m'baba mmoja mrefu kiasi na ana mwili wa wastani,anapenda sana familia yake..na kila siku lazima anywe bia

Asprin ni mrefu kiasi lakini kutokana na unene na kitambi chake kikubwa anaaonekana mfupi..anapenda utai sana wa kibazazi lakini kiuhalisia wala si bazazi
😛hoto:😛hoto:😛hoto:
 
Nakubaliana na wewe hasa hapo kwa Kaizer na miss neddy. Ila Asprin mi nahisi ni mwembamba af mfupi-mfupi hivi:der::der:....yan ana mwili mdogo:A S 114::A S 114:...ana watoto wawili:shock::shock:
😛hoto:😛hoto:
 
Rahabu ni kibonge kimetuna kama godoro la 6 x 6 [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Aah nimeona nikupotezee unanizibia tu rizki watu wanaona niko taken kumbe mtu mwenyewe mzinguaji
Hahaha..... Haya mama kila la kheri nikutakie tu upate bwana mcharo kama mimi akikutesa rudi sawa!
 
hapa kiukweli me napita tu,,endeleeni kwanza
 
Back
Top Bottom